Shule zifunguliwe tuu ,watoto warudi shule Cascos
Eminem na nani sasa? labda na FidQ, sidhani kama huyo Eminem atawafikia kina Profesa Jay na Mr. Two kwa sasa jamaa wanavuta mpunga kibao bungeni kwa sasa?
Ndiyo mkuu, huna habari kuwa wameshinda ubunge hawa?
kwa taarifa yako Jay ni mbunge wa mikumi na Mr. 2 ni wa Mbeya mjini.
Eminem yeye si atakuwa anategemea show tu? na recently hana hata kibao kinachovuma.
Duh mkuu hata ujielewi kwanza show moja anayo piga eminem unganisha malupulupu yote ya ubungr wa sugu na mr 2 hawamfikii, jmaa ni producer yupo mbali sana kwenye malipo anayopata kwenye production licha ya hiyo check net worth yake hata hawa mafisadi wa hawamfikii itakuwa hao wakina suguEminem na nani sasa? labda na FidQ, sidhani kama huyo Eminem atawafikia kina Profesa Jay na Mr. Two kwa sasa jamaa wanavuta mpunga kibao bungeni kwa sasa?
Daaah tengua kauli Chris brown na diamond?,,,,,,kua serious basi
Diamond mpambanishe na Harmonize,maana kwa sauti hamfikii Christian Bella au Ali Kiba,kumpambanisha na Chris Brown ni kosa unalotakiwa kujuta wewe mngeseishu hapa ni sauti yakuimba mkuu...
ishu hapa ni sauti yakuimba mkuu...
Mkuu unamanisha ana akili kama hawa k.uk u?
mkuu mbona unajibu kwa jazba?ebu relax kidogo ikiwezekana suuza nafsi na coca baridi apo grocery ya jirani...Diamond mpambanishe na Harmonize,maana kwa sauti hamfikii Christian Bella au Ali Kiba,kumpambanisha na Chris Brown ni kosa unalotakiwa kujuta wewe mngese