Nani mkali kati ya Haruna Niyonzima na Clatous Chama?

Nimesikia wakila pili pili Haruna anakuwa mkali zaidi ila akivutishwa bangi anasinzia tu, anakuwa hana ukali wowote...anabaki kutokwa na udenda tu.
 
Chama anaendelea kuhusika katika goli la Simba.

Pasi ya goli la Bocco Vs Mbeya city
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…