Nani mkali kati ya Joh Makini na Fid Q?

Haya mambo ndio siyatakagi yaani badala ya ku-support kazi zao za kutuburudisha tunataka kuwafananisha na kuanzisha matimu. Kila mtu ana test yake kuna test ya Fid na Test ya Joh na daima hawawezi kuwa sawa lakini wote wanatuburudisha tuwashukuru
 
Daah ni vema ukamweka Joh makini na watu wa kariba yake.. Kuliko kufananisha na Fid Q nikama unambaka vile.. Kwa Joh makini hapo muweke one incredible au stereo kidogo inamake sense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…