I pick Konde Boy any time. Kwanza ni speed ya mchezo aliyonayo na flexibility aliyonayo ya kucheza nafasi mbali mbali za ushambuliaji. Mchezaji wa kweli huwa hana nafasi maalumu moja tu anayoweza kucheza kama ilivyo kwa ndugu yetu na apate watu wa kum-feed. Konde Boy is all weather all terrain and above all fearless.
Kama tunazungumzia uzalendo basi Samata ni mchezaji mkubwa mwenye bahati tu za mkenge. Tunamtakia kila la kheri huko Fenabache na kama haitokuwa rizki, basi arudi Yanga kwani Simba kumesheheni vipaji.
Kwa sifa zote hizo.. ilikuaje akakosa namba katika timu ya africa, mamelodi sundowns?
Unajua kama samatta ashaingia katika all africa team..
Na samatta ameshashinda taji la mchezaji bora wa africa nzima