Nani mkali wa singeli hapa Tanzania?

brigedia mafia

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2016
Posts
2,260
Reaction score
2,279
Haya sasa kwa wale wapenzi wa singeli na wasio wa singeli njoeni mtoe mawazo yenu ya kuwa nan ni mkali zaidi wa singeli hapa bongo




A:Man Fongo





B:Skide





C:Mwanadada young yuda













D:Shollo mwamba




E😀oggo nigga simela





F:Msaga sumu







G:Mczo



Je yupi ni mkali kati ya hao na pia ipi singeli ya ukweli hizi za siku hizi wanazofanya kwa messen selekta kaka jambazi au zile singeli za hapo awali
 
Msaga sumu si ndo mwanzilishi hapo.

Halafu kuna dogo anaitwa Mc Dullah makabila, ansikika sana Efm ndo namkubali.

Si amini kama man4ongo atakuwepo kwa muda mrefu juu. Pia toka aende mawingu sija msikiliza sana.
 
Msaga sumu ndio mambo yote hapo wengine hao ni wanafwata njia ambayo ameshaianzisha msaga sumu. Halafu ni macho yangu au mbona waimbaji wenyewe karibia wote ni kama vile wanatumia jani la jamaica
Upo sahihi kabisa wote hao watumiaji wa ngada
 
Haina ubisho, Msaga Sumu ndo baba lao, wengine watapndoka na upepo very soon maana wanavyoimba ni tofauti na msaga sumu, msingi wa kina mangongo, shollo mwamba etc unafanana mpaka unashindwa jua ni nani kaimba, pua neno eeeh baba eeh baba eeeeeeh bana sijui ndo nembo ya singeli!!!
Msaga sumu hana mpinzani.
 
Mbona hujamweka John Pondwa Maubabez (JPM) wa mtaani kwetu?

Huyu ndio muasisi wa singeli Tanzania ila tu hakupata umaarufu mapema.
 
Msaga sumu si ndo mwanzilishi hapo.

Halafu kuna dogo anaitwa Mc Dullah makabila, ansikika sana Efm ndo namkubali.

Si amini kama man4ongo atakuwepo kwa muda mrefu juu. Pia toka aende mawingu sija msikiliza sana.
Mwanzilishi ni JPM
 
Kiboko yao ni Msaga sumu lakini walio ijua singeli kupitia haina ushemeji watasema Man fongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…