Nani mkali?

n00b

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2008
Posts
1,015
Reaction score
2,680

Oscar Ndauka



Hadija Sure



Neema Chande


Jokate Mwegelo




Wema Sepetu
 
kaka hapo na mimi nimekubali. She's beautiful in a special way. Look at that beauty in her eye. God is so creative.
 
I will vote for Jokate
 
Oooh Yeaah 4 shizzle mannizzle
 
Kama dada zako wa kisukuma wako kama huyu tuairishe mkataba....she is phatty umeshamuona nyuma hajajaa alafu angalia anavyovaa ngrrrrr!!!
 




Jokate Mwegelo



Pimbi, chaguo langu ni huyo hapo juu.

Halafu nyie wakorofi hapo juu naona wote mnamatatizo ya macho.... kapimeni! Kwa machaguo yenu hamchelewi kuniambia huyu hapa chini pia ana macho manne....

 
Pimbi, chaguo langu ni huyo hapo juu.

Halafu nyie wakorofi hapo juu naona wote mnamatatizo ya macho.... kapimeni! Kwa machaguo yenu hamchelewi kuniambia huyu hapa chini pia ana macho manne....

Steve hako nakakubali ila kameanza kuchuja kakiacha kumegwa na vibabu vya kizungu katarudi enzi zake kama chini hapa

Nilkikuwa na picha zake nyingi lakini tangu kaanze tabia za kufukuzia wazungu basi....
 
Yoyo utanisamehe... nimeingia kwenye mjadala niki judge mwonekano kwa picha kama zilivyowekwa hapa na si tabia za watu au maisha yao. Kulingana na jinsi pimbi alivyoweka picha, chaguo langu ndiyo hilo... hayo ya wazee wa kizungu au mambo ya heineken siyajui.. heshima mbele... baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…