Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,558
Vyombo vyote vinategemeana, ndio maana hata hilo Jeshi la Ulinzi bila intelijensia imara haliwezi kuonekana Imara.Jeshi likiamua kitu,hakuna mtu analeta fyoko. .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyombo vyote vinategemeana, ndio maana hata hilo Jeshi la Ulinzi bila intelijensia imara haliwezi kuonekana Imara.Jeshi likiamua kitu,hakuna mtu analeta fyoko. .
Bila shaka.Vyombo vyote vinategemeana, ndio maana hata hilo Jeshi la Ulinzi bila intelijensia imara haliwezi kuonekana Imara.
Swali halina afya.Jiulize kwanza nani kati ya hao anaweza kuipindua nchi
Kusafiri hata Mimi nimepanda ndege na Magufuli Mara kibao.Mbona Mara nyingi meko alikuwa anasafiri na Diwani
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
MnoooSwali la kipuuzi
Kabla haujapindua Nchi, Tayari unakuwa tayari Mipango yako ishajulikana na Usalama wa Taifa na kudhibitiwa chini ya Ulinzi, Maana Usalama wapo kila MahaliJiulize kwanza nani kati ya hao anaweza kuipindua nchi
Kama lilivyoamua katiba ifuatwe baada ya kiongozi wa malaika wa shetani kwenda motoniJeshi likiamua kitu,hakuna mtu analeta fyoko. .
Siroooo
Usalama wa Taifa ni mdogo,lakini ndie mwenye intelligence/taarifa nyingi za kijasusi,na mbinu nyingi za kupata hizo taarifa,hata akitaka ajue CDF,kama ana kibamia,au ni homosexual,au michepuko yote ya CDF,na viongozi wakuu wa nchi,anaweza kujua.Wakuu hope mko poa
Naomba kuuliza ni nani, Ni mkubwa, lakini pia nani anajua Siri nyingi, lakini pia nani yupo karibu mno na raisi Kati ya Mkuu wa Majeshi(CDF) na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa(DGIS)
Karibu mtujuze mnaojua
MmmMkuu wa usalama ni mkubwa! Jeshi ni sehemu ya vyombo vya usalama vingine ni magereza, polisi, uhamiaji nk. Mkuu wa usalama anacontrol vyote hivyo
[emoji28][emoji28].Mkuu wa majeshi CDF ndio mkuu kwa wote.
DG TISS amezidiwa cheo hata na IGP.
Anachafaidi DG TISS ni kuwa chawa wa rais a.k.a mnoko, mchomeaji wenzie.
Mkuu ktk dhifa za kitaifa hawa watu huketi kwa kuzingatia itifaki.Mkuu wa usalama ni mkubwa! Jeshi ni sehemu ya vyombo vya usalama vingine ni magereza, polisi, uhamiaji nk. Mkuu wa usalama anacontrol vyote hivyo