Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?

Nani mkweli kati ya Dkt. Mollel na Dkt. Slaa juu ya Lissu kupigwa risasi. Kwanini CHADEMA wanakuwa kimya? Polisi nao mbona hawachukui hatua?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Dkt. Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda CHADEMA walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dkt. Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai CHADEMA walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni CHADEMA kwa nini hawachukui hatua?
 
Chadema ni wazuri kwenye blame shifting. Wao lawama zote ni kwa Magufuli.

Matukio ya kigaidi wafanye wao lakini lawama anapewa Magufuli.

Tunashukuru Slaa, someone from inside ambae ametupatia mwanga hasa ni nini kilikua kinafanyika ndani ya chama.

Chama kinaendesha operation za kigaidi za kuteka watu na kuua watu halafu serikali inatupiwa lawama.

Ni chama cha kichaga lakini hata wachaga wenyewe wameanza kuona hiki chama ni Magumashi.
 
MACCM WAJINGA SANA.
VYOMBO VYOTE VYA DOLA NI VYAO KWA NINI WASIPELELEZE NA KUWAAIBISHA CHADEMA?
MAANA YAKE HAYO MNAYOSEMA SI KWELI.
Chadema mlivyo mataahira mnadhani kila kitu Duniani kinapelelezwa na majibu yanapatikana.

Nenda hata huko nchi zilizoendelea kuna cold cases kibao ambazo bado ushahidi haujapatikana pamoja na kwamba wanaweza kua na circumstantial evidences lakini kama hakuna hard evidence huwezi kupeleka mtu mahakamani.

Ni kwamba, hapa Duniani watu wengi tu wanafanya matukio mabaya na bado hawakamatwi na vyombo vya dola kutokana na kutokuacha hata tone la ushahidi.

Sasa kwa msingi huo, Chadema inawezekana kabisa mkawa mnafanya perfect crimes na bado msikamatwe unless someone from the inside kama alivyofanya Slaa atoe mwanga ama picha ya kinachoendelea kwa ndani.

Sasa mnatupia lawama vyombo vya dola eti vifanye upelelezi, sio kila kosa linafanyiwa upelelezi na mtuhumiwa kupatikana.

Ushahidi uliopo sasa ni wa kimazingira kua Chadema walimteka na kumuua Ben ingawa hakuna ushahidi mgumu wa kuwapeleka mahakamani. Hii pia imetokea kwa Lisu.

Chadema ni chama kinachojiendesha kama kikundi cha mafioso, Mafia style.
 
hahahahaha Babu Slaa alikuwa ndugu yao wakiishi nyumba moja kifupi anazijua tabia zao vizuri kama wao wanavyozijua tabia zake.....

Kama Dr Slaa aliyeishi nao miaka mingi anakuwa hawaamini kwenye issue kama hizo, mimi ni nani nianze kuwaamini..
 
Ni wapuuzi wale walio toa CTV camera kwenye eneo la serikali,, na wale walinzi wanao linda eneo lile ni waCDM???
my take CCM yangu tukumbuke hatuta tawala milele yatakuja ibuka hizo skendo na sijui tutaficha wapi sura zetu
Dr Slaa na Dr Molel watu wa kuwaombea wanazeeka vibaya.. Pumzikeni achaneni na siasa zitawagharimu bule wapi wapi mzee wa Kongwa (Ndugai,)
 
Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni Chadema kwa nini hawachukui hatua?
Kuna public crimes na private crimes.

  1. Public crimes ni uhalifu dhidi ya public, hapa polisi wakipokea hint "taarifa za kiinteligencia" ndio wanachukua hatua kama kuzuia maandamano.
  2. Private Crimes ni uhalifu dhidi ya private individuals, polisi haipokei tip wala hai act on this, bali mwenye tip kuhusu private crimes anapaswa aende polisi kuripoti.
  3. Private crime si kama vile kumchinja mtoto wako na kumfanya kitoweo, Kuua ni kosa la jinai, regardless umemuua nani, kitendo cha mauaji kikisha fanyika ni public crime, hatua zinachukuliwa bila yoyote kuhitajika kuripoti, ila kutishiwa maisha ni private crime lazima ukaripoti polisi ndipo hatua zichukuliwe!.
  4. Hata polisi wakipita nyumbani kwako, wakuesikia unampiga mkeo au mwanao, hawata ingilia kwasababu it's a private affairs, Ila mkeo akishitaki ndio inakuwa a public crime.
  5. Hata polisi wakipita kwako wakaona mlango umevunjwa na futuma, hawaji kuuliza kulikoni, lazima ukaripoti!.
  6. Lissu alipofuatiliwa na like gari, Nissan nyeupe, alitoa taarifa kwenye Press Conference only, ili polisi wa act alipaswa akaripoti polisi.
  7. Hivyo Dr.Slaa or Dr. Mollel kama , ana ushahidi wa uhalifu wa Chadema akaripoti polisi na sio kuzungumzia mitaani au Bungeni.
  8. Natoa wito, mtu yoyote mwenye ushahidi wowote usiotia shaka kuwa Chadema inahusika na uhalifu wowote, akaripoti polisi na Jeshi makini la polisi likipokea taarifa hiyo, litafanya uchaguzi, likijiridhisha, hatua za uchaguzi wa kijinai zitafanyika na ikithibitishwa, then ndicho kitu hiki nilicho kisema hapa Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba! kinatakiwa kufanyika.
P.
 
MACCM WAJINGA SANA.
VYOMBO VYOTE VYA DOLA NI VYAO KWA NINI WASIPELELEZE NA KUWAAIBISHA CHADEMA?
MAANA YAKE HAYO MNAYOSEMA SI KWELI.
Mkipelekwa mahakamani mnadai kwenye vyombo vya dola mnadai ni kwasbb ya Katiba Mpya na ni mbinu za kufifisha upinzani. Ila kama ni kweli haya matendo yanafanyika damu za watu mtazilipia. Ndo maana sasa hivi chama hakina mvuto kabisa mitaani. Mmebaki kumsema marehemu vibaya kwasbb alijua kuzikabili hila zenu.
 
Dk Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda Chadema walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali...
Hao wawili walikuwa Chadema hivyo walishiriki moja kwa moja kwenye uhalifu huo, wao wakamatwe ili waeleze jinsi walivyopanga hiyo njama, hii si siasa bali ni uhalifu.
 
Chadema mlivyo mataahira mnadhani kila kitu Duniani kinapelelezwa na majibu yanapatikana.

Nenda hata huko nchi zilizoendelea kuna cold cases kibao ambazo bado ushahidi haujapatikana pamoja na kwamba wanaweza kua na circumstantial evidences lakini kama hakuna hard evidence huwezi kupeleka mtu mahakamani.

Ni kwamba, hapa Duniani watu wengi tu wanafanya matukio mabaya na bado hawakamatwi na vyombo vya dola kutokana na kutokuacha hata tone la ushahidi.

Sasa kwa msingi huo, Chadema inawezekana kabisa mkawa mnafanya perfect crimes na bado msikamatwe unless someone from the inside kama alivyofanya Slaa atoe mwanga ama picha ya kinachoendelea kwa ndani.

Sasa mnatupia lawama vyombo vya dola eti vifanye upelelezi, sio kila kosa linafanyiwa upelelezi na mtuhumiwa kupatikana.

Ushahidi uliopo sasa ni wa kimazingira kua Chadema walimteka na kumuua Ben ingawa hakuna ushahidi mgumu wa kuwapeleka mahakamani. Hii pia imetokea kwa Lisu.

Chadema ni chama kinachojiendesha kama kikundi cha mafioso, Mafia style.
Si mlisema kimekufa??
 
Ni wapuuzi wale walio toa CTV camera kwenye eneo la serikali,, na wale walinzi wanao linda eneo lile ni waCDM???
my take CCM yangu tukumbuke hatuta tawala milele yatakuja ibuka hizo skendo na sijui tutaficha wapi sura zetu,,
Dr Slaa na Dr Molel watu wa kuwaombea wanazeeka vibaya.. Pumzikeni achaneni na siasa zitawagharimu bule wapi wapi mzee wa Kongwa (Ndugai,)
Dereva wa Lissu Kwann amefichwa mpaka Leo? Na usishangae tukaambiwa alishakufa. Tumia akili kutafakari. CCTV Camera ilichukuliwa na polisi na walitoa taarifa kwamba ni sehemu ya ushahidi. Sasa wahusika wote wamekimbia nchi, polisi wafanye nn?
 
Dk Slaa amegusia juu ya Lissu kupigwa risasi na kudai kuwa huenda Chadema walihusika maana walikuwa na makundi ya kigaidi yaliyofanya uhalifu wa kigaidi ili kuichafua serikali.

Dk Mollel nae aliibuka huko nyuma akiwa Bungeni na kudai Chadema walimtwanga Lissu risasi na aliongea bila kupindisha maneno.

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni Chadema kwa nini hawachukui hatua?
Ikiwa chadema waliweza kuingia mahala pa serikali penye ulinzi mkali na kamera cctv wakashambulia kwa silaha nzito na wasijulikane basi nchi itakuwa idara za usalama zimekufa.Mwenye akili atafakari mara2
 
Ikiwa chadema waliweza kuingia mahala pa serikali penye ulinzi mkali na kamera cctv wakashambulia kwa silaha nzito na wasijulikane basi nchi itakuwa idara za usalama zimekufa.Mwenye akili atafakari mara2
Hilo haliwezekani?
 
Back
Top Bottom