Nani msanii mkali, Nandy Vs Becka Flavour?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Kati ya hawa wasanii solo wapya ubongoflevani yaani Nandy na Becka flavour, nani ni mkali, nani ana hit kali, nandy ana track ya gusagusa, wasikudanganye, beka ana libebe na sarafina.

Toa maoni
 
Kati ya hawa wasanii solo wapya ubongoflevani yaani Nandy na Becka flavour, nani ni mkali, nani ana hit kali, nandy ana track ka gusa gusa, wasikudanganye, beka ana libebe na sarafina. toa maoni kabla mabosi hawajafuta uzi, maana siku hizi wakali hao
Nandy jana sikupenda perfomance yake niliyotazama kwenye tv maana sikuwepo live.
Wimbo wake mpya aliuimba utadhabi anaimba gospel.
Beka naye ni mkali sana ila hana nyota na hapewi airtime na promo ya kutosha kama anayopewa nandy na aslay
 
Mkali ni beka nandy anabebwa na luge mutaba
kwahiyo umeamua kuleta conclusion baada ya kuon hupati sapoti!..
Ila me sioni kama ni haki kumlinganisha becka flavour na Nandy ukiangalia ni jinsia mbili tofauti hizi!!...unless wanafanya LGBT..
 
Hakunaga comparison ya ME na KE, jipange tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…