Nani msemaji wa elimu aliyebaki Bungeni? Naona walimu wa private wananyanyaswa sana

Nani msemaji wa elimu aliyebaki Bungeni? Naona walimu wa private wananyanyaswa sana

Private nyingi sasa hivi wanalipa laki 2 tu. Kuna dogo langu/ndugu yangu anafundisha Iringa shule ya mwana CCM mmoja inaitwa KITWIRU SEKONDARI analipwa laki 2 tu. Tena kazi ni saa moja asubuhi hadi saa 11 jioni.

Waalimu wanapata tabu sana wasio na ajira.
Sema mmiliki mkuu wa wilaya mstaafu
 
Back
Top Bottom