Private nyingi sasa hivi wanalipa laki 2 tu. Kuna dogo langu/ndugu yangu anafundisha Iringa shule ya mwana CCM mmoja inaitwa KITWIRU SEKONDARI analipwa laki 2 tu. Tena kazi ni saa moja asubuhi hadi saa 11 jioni.
Waalimu wanapata tabu sana wasio na ajira.