Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Nani Mtani Jembe: Simba Vs Yanga

Naona Leo inachezeshwa na Mama!
 
tatizo yanga wakifungwa lazima walete visingizio,mfano leo watasema tumefungwa kisa refa wa kike
 
Yanga wana fanya kazi ya kuokoa tuu!
 
Nawasikiliza kina Kitenge na Katanga, wanaongea ongea tu vitu havielweki, hebu mlioko Taifa tupeni updates huko.
 
Back
Top Bottom