Sifuatilii hii mechi, leteni updates.
Mpira unachezwa hovyo...TBC wanaonesha hovyo..Refa naye ni wa hovyo...Kila kitu hovyoooo...
Mpira unachezwa hovyo...TBC wanaonesha hovyo..Refa naye ni wa hovyo...Kila kitu hovyoooo...
Yani raha uwanjani..polen mlioko home
Na watangazaji wa TBC wa hovyo...
Mpira unachezwa hovyo...TBC wanaonesha hovyo..Refa naye ni wa hovyo...Kila kitu hovyoooo...
Hivi nitaionaje hii mechi ya leo ya Yanga na Simba kwenye internet hapa UK?
Hivi mechi inaanza saa ngapi na inaoneshwa na kituo gani? nataka nimuone NGASA AKITUPIA 2 PEKE YAKE