Nani mwenye jukumu la kukumkumbusha mwenza wake mkiwa mmekubaliana kuonana/Mtoko

Nani mwenye jukumu la kukumkumbusha mwenza wake mkiwa mmekubaliana kuonana/Mtoko

kadogo2

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
1,889
Reaction score
3,059
Kati ya mwanaume na mwanamke nani mwenye hilo jukumu

Hili jambo Linaniwazisha sana.. mmepanga out na rafiki/ mpenzi nani anaukuwa na jukumu la kumkumbusha mwenzake kwamba Leo ndio ile siku jiandae

Ipo hivi mimi sinaga kawaida ya kumkumbusha mtu ambae tulishakubaliana siku fulani tunatoka kwamba nimuulize Leo vipi tutaonaa yaani naonaga kama nitaonekana sina cha kufanya nasubiri hiyo siku nitolewe out


Huyu mtu wangu ana tabia moja unakuta anakwambia nimekumis nataka tuonane.

Unamuuliza labda lini anakwambia kesho kutwa mnakubaliana ikifika hiyo siku unashangaa kimya na hasemi chochote.

Ikipita hiyo labda baada ya siku mbili unasikia anakwambia mbona hujanikumbusha tuonane na tulipanga tuonane, basi mimi hapo nitazugazuga kuwa nilisahau

Sasa mtu atakulalamikia mara hutaki kuonana na mimi sijui hivi na hivi

Sasa nauliza nani mwenye jukumu kati ya mwanaume na mwanamke la kukumbushia mtoko?
 
Aliyetoa Wazo au appointment ya kukutana ndio mwenye jukumu la kukumbusha siku ya meeting ikifika.

Ukihitajika utaitwa.
 
FB_IMG_17356848660310290.jpg
 
Nimegundua wote mnapenda mashindano,
We ukimkumbusha kwani unakufa!?
Achaneni tu
 
We si kuna Uzi umesema no money no Utamu. Labda jamaa amashakujua lazima umyonye damu Hata kama hamu ni zako.
 
Kati ya mwanaume na mwanamke nani mwenye hilo jukumu

Hili jambo Linaniwazisha sana.. mmepanga out na rafiki/ mpenzi nani anaukuwa na jukumu la kumkumbusha mwenzake kwamba Leo ndio ile siku jiandae

Ipo hivi mimi sinaga kawaida ya kumkumbusha mtu ambae tulishakubaliana siku fulani tunatoka kwamba nimuulize Leo vipi tutaonaa yaani naonaga kama nitaonekana sina cha kufanya nasubiri hiyo siku nitolewe out


Huyu mtu wangu ana tabia moja unakuta anakwambia nimekumis nataka tuonane.

Unamuuliza labda lini anakwambia kesho kutwa mnakubaliana ikifika hiyo siku unashangaa kimya na hasemi chochote.

Ikipita hiyo labda baada ya siku mbili unasikia anakwambia mbona hujanikumbusha tuonane na tulipanga tuonane, basi mimi hapo nitazugazuga kuwa nilisahau

Sasa mtu atakulalamikia mara hutaki kuonana na mimi sijui hivi na hivi

Sasa nauliza nani mwenye jukumu kati ya mwanaume na mwanamke la kukumbushia mtoko?
Huu mwaka mrefu sana nilikuwa nimepanga kuoa basi ntaoa next year 😂
 
Ww ambaye huna la maana la kuongeza kwenye huo mtoko ndie unapaswa kukumbusha mana huyo mwingine ana mambo mengi anaweza kusahau.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umejuaje Kama sina la maana mkuu
 
We si kuna Uzi umesema no money no Utamu. Labda jamaa amashakujua lazima umyonye damu Hata kama hamu ni zako.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mambo ya humu yaache humuhumu mkuu mimi nakopwa mkuu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umejuaje Kama sina la maana mkuu
Sijasema ww huna la maana, ila yule ambaye hana la maana ndo anatakiwa kukumbushia, sasa ww jiangalie una lipi la maana kwenye huo mtoko then utajua umkumbushie au uuchune
 
Back
Top Bottom