Egyps-women
JF-Expert Member
- Feb 5, 2010
- 497
- 107
Based on true true story!
Ann na Brenda Ni mashort wa siku nyingi sana urafiki wao uligeuka na kuwa undugu hata kuziunganisha family zao
..Ann alikuwa muwazi sana kwa mwenzie lakini Brenda alikuwa mkimya sana na alipenda kuongea mambo ya masomo maisha na dini kwa ujumla huku akisisitiza anawachukia sana wanaume na pia kumsisitiza sana Ann asome kwa bidii na aachane kabisa na swala zima la mapenzi .
Kijana Mike aliondokea kumpenda sana Brenda na kuamua kumtuma rafiki yake Ann amfikishie msg hii ,Ann alikaa na jambo hili akiwaza na kuwazua namna ya kuanza kumwambia Brenda lakini ilimchukua kama mwaka mzima hajaweza kusema.
Alimsisitiza sana Mike amwambie mwenyewe kwani yeye anaijua misimamo ya Rafikie Brebda ..ingawa Mike alikuwa akimsalimia Brenda anaitikia na kuendelea na mambo yake.
Ann alijikuta ameingia kwenye penzi zito sana na Mike na kupeana ahadi za ndoa mara mambo yao yakikamilika..
Kumbe Brenda nae alikuwa na penzi zito sana kwa Mike toka amemuona ila kwa aibu zile za kike hakuweza kuzisema hisia zake .
Mwisho wa siku Brenda Baada ya kugundua Mike alimtuma Ann kwake na hakumwambia lolote walianza uhasama na chuki ambayo hakuna anayeweza kuizima mpaka leo.
Jamani nani mwenye kosa kati ya hawa marafiki wawili na huyu Mike wao
Na nini kifanyike kuwasaidia!!:A S-rose:
Ann na Brenda Ni mashort wa siku nyingi sana urafiki wao uligeuka na kuwa undugu hata kuziunganisha family zao
..Ann alikuwa muwazi sana kwa mwenzie lakini Brenda alikuwa mkimya sana na alipenda kuongea mambo ya masomo maisha na dini kwa ujumla huku akisisitiza anawachukia sana wanaume na pia kumsisitiza sana Ann asome kwa bidii na aachane kabisa na swala zima la mapenzi .
Kijana Mike aliondokea kumpenda sana Brenda na kuamua kumtuma rafiki yake Ann amfikishie msg hii ,Ann alikaa na jambo hili akiwaza na kuwazua namna ya kuanza kumwambia Brenda lakini ilimchukua kama mwaka mzima hajaweza kusema.
Alimsisitiza sana Mike amwambie mwenyewe kwani yeye anaijua misimamo ya Rafikie Brebda ..ingawa Mike alikuwa akimsalimia Brenda anaitikia na kuendelea na mambo yake.
Ann alijikuta ameingia kwenye penzi zito sana na Mike na kupeana ahadi za ndoa mara mambo yao yakikamilika..
Kumbe Brenda nae alikuwa na penzi zito sana kwa Mike toka amemuona ila kwa aibu zile za kike hakuweza kuzisema hisia zake .
Mwisho wa siku Brenda Baada ya kugundua Mike alimtuma Ann kwake na hakumwambia lolote walianza uhasama na chuki ambayo hakuna anayeweza kuizima mpaka leo.
Jamani nani mwenye kosa kati ya hawa marafiki wawili na huyu Mike wao
Na nini kifanyike kuwasaidia!!:A S-rose: