Nani mwenye makosa hapa?

Nani mwenye makosa hapa?

bacha

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2010
Posts
4,282
Reaction score
797
Habari waungwana?Hebu tujuzane kwenye hili:

Mwanamke aliyelala na mumewe usiku akawa anaota ndoto usingizini na ghafla akapiga kelele "jifiche mume wangu kaja" au mumewe aliyesikia hizo kelele na akanyakua nguo zake na kuruka dirishani na ghafla anagundua "alaaaah! kumbe nipo kwangu na nimelala na mke wangu". Hapa nani mmwenye makosa, mke/mume?
 
inaelekea hawa wote ni wanachama wa chama cha infidelity
 
Habari waungwana?Hebu tujuzane kwenye hili:

Mwanamke aliyelala na mumewe usiku akawa anaota ndoto usingizini na ghafla akapiga kelele "jifiche mume wangu kaja" au mumewe aliyesikia hizo kelele na akanyakua nguo zake na kuruka dirishani na ghafla anagundua "alaaaah! kumbe nipo kwangu na nimelala na mke wangu". Hapa nani mmwenye makosa, mke/mume?

Hii Kali, Wote ni WEZI wakubwaa!!!!
 
dah hiii kali... hamna wa kumlaumu mwenzake inabidi wakae chini wajiulize "kama alikufa kwa ukimwi alijali nini...???"
 
Mwenye makosa ni mwanamke kwasababu hayo maneno ya usingizini yamemshtua mmewe ndo maana akaogopa na kukimbia nje
 
inaelekea hawa wote ni wanachama wa chama cha infidelity

mmmmh!hapo patamu sipati picha wakiwa kwenye kikao chao cha chama hizo agenda wanazichangiaje kwa pamoja!
 
Hapa wakiamua kuendelea kuishi pamoja waendelee, na wakiamua kupeana talaka wafanye hivyo!
 
mmmmh!hapo patamu sipati picha wakiwa kwenye kikao chao cha chama hizo agenda wanazichangiaje kwa pamoja!

ebu pitia katiba yao, nafikiri vikao wanakaa kwa style hii ya kiJF
 
Wote wana makosa, hivyo wakae chini, wajadili tukio, na wasamehane waendelee na maisha
 
inaelekea hawa wote ni wanachama wa chama cha infidelity
hapana watakuwa si wanachama wa infidelity, wanachama halali na hai hawafanyo hajizi wala hawakosei, hawa watakuwa ni wapinzani wa infidelity wenye tabia za infidelity.
 
hapana watakuwa si wanachama wa infidelity, wanachama halali na hai hawafanyo hajizi wala hawakosei, hawa watakuwa ni wapinzani wa infidelity wenye tabia za infidelity.
The Following User Says Thank You to Beauty For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
mmmmh!hapo patamu sipati picha wakiwa kwenye kikao chao cha chama hizo agenda wanazichangiaje kwa pamoja!

Hawa sio wanachama wa INFIDELITY watakuwa ni kutoka kambi ya upinzani maana ukiwa kambi ya upinzani ukijaribu tu lazima ukamatwe on the spot wanachama hai hawakamatwi hata siku moja halafu hata ndoto huwa hawaoti kabisa labda iwe ndoto zinazohusiana na mambo ya kibiashara
 
Eti nini????? Ebu ngoja niende kunywa chai kwanza!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! duh.............. mmhhhh..... Grhhhhhh!!!! Mbavu zinauma jamani. Kula tano ndugu ndugu yangu BACHA>>>:lol:
 
Mke ana makosa makubwa sana-anamshtua mwenzie usingizini, anahatarisha usalama wake kwa kuruka dirisha, anakawaida ya kumegwa kwenye kitanda cha mume wake, aaah! mbaya sana!
 
Habari waungwana?Hebu tujuzane kwenye hili:

Mwanamke aliyelala na mumewe usiku akawa anaota ndoto usingizini na ghafla akapiga kelele "jifiche mume wangu kaja" au mumewe aliyesikia hizo kelele na akanyakua nguo zake na kuruka dirishani na ghafla anagundua "alaaaah! kumbe nipo kwangu na nimelala na mke wangu". Hapa nani mmwenye makosa, mke/mume?
mwenye makosa aliyejificha
 
Habari waungwana?Hebu tujuzane kwenye hili:

Mwanamke aliyelala na mumewe usiku akawa anaota ndoto usingizini na ghafla akapiga kelele "jifiche mume wangu kaja" au mumewe aliyesikia hizo kelele na akanyakua nguo zake na kuruka dirishani na ghafla anagundua "alaaaah! kumbe nipo kwangu na nimelala na mke wangu". Hapa nani mmwenye makosa, mke/mume?

Baada ya kuruka dirishani akiwa na nguo zake mkononi ndio akagundua kuwa yupo kwake na amelala na mke wake!

Inanikumbusha ile ya usiku kucha silali nakuota.
 
Back
Top Bottom