Nani mwenye Teknolojia zaidi? Sisi Waafrika au wenzetu?

Nani mwenye Teknolojia zaidi? Sisi Waafrika au wenzetu?

Davidmmarista

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,367
Reaction score
2,451
Habari zenu wadau wa JamiiForums!

Leo nimekuja na mada 🔥 inayogusa maendeleo yetu kama Waafrika. Tumeona dunia ikibadilika kwa kasi kutokana na teknolojia, lakini swali ni moja: Kati yetu Waafrika na mataifa mengine ni nani mwenye teknolojia zaidi?

Tukitazama historia, Afrika ilikuwa na teknolojia zake asili kabla ya ukoloni mifumo ya kilimo, ujenzi wa miji kama Timbuktu, na hata matumizi ya sayansi katika tiba pia baadhi ya sehemu kama misri ilikuwa na teknolojia kama pyramid.

Ila leo, tunashuhudia mataifa ya Magharibi na Asia yakiongoza kwa teknolojia za kisasa kama AI, blockchain, biotechnology, na uchunguzi wa anga(aerospace).

Je, sisi Waafrika tuko nyuma kwa sababu ya ukoloni, uongozi mbovu, au ni kwamba tunahitaji kubadilisha mtazamo wetu wa kiteknolojia? Kuna mafanikio mengi Afrika kama M-Pesa, makampuni ya tech kama Andela, na matumizi ya drone katika sekta ya afya, operating system ya computer kama Ubuntu(Linux). Je, haya yanatosha kutupeleka mbele?

Wadau, naomba mawazo yenu:
1. Afrika inahitaji kufanya nini ili kuwa kinara wa teknolojia duniani?
2. Je, tuna rasilimali za kutosha kuzidi mataifa mengine?
3. Ni teknolojia gani ambazo tunapaswa kuwekeza zaidi?

Karibuni kwenye mjadala! Twende tukaijenge Afrika yetu kwa maarifa na technology!
 
Africa hatukuwa na maendeleo kabla ya ujio wa ukoloni.
Hatukuwa na viwanda vya magari,sementi,mabati, pikipiki, baiskeli hivi vililetwa na ujio wa wakoloni.
 
Vijana vichwa vimejaa singeli, mpira,zuchu diamond ndo wataweza ona fursa tele za kilimo au madini?
 
Habari zenu wadau wa JamiiForums!

Leo nimekuja na mada 🔥 inayogusa maendeleo yetu kama Waafrika. Tumeona dunia ikibadilika kwa kasi kutokana na teknolojia, lakini swali ni moja: Kati yetu Waafrika na mataifa mengine ni nani mwenye teknolojia zaidi?

Tukitazama historia, Afrika ilikuwa na teknolojia zake asili kabla ya ukoloni mifumo ya kilimo, ujenzi wa miji kama Timbuktu, na hata matumizi ya sayansi katika tiba pia baadhi ya sehemu kama misri ilikuwa na teknolojia kama pyramid.

Ila leo, tunashuhudia mataifa ya Magharibi na Asia yakiongoza kwa teknolojia za kisasa kama AI, blockchain, biotechnology, na uchunguzi wa anga(aerospace).

Je, sisi Waafrika tuko nyuma kwa sababu ya ukoloni, uongozi mbovu, au ni kwamba tunahitaji kubadilisha mtazamo wetu wa kiteknolojia? Kuna mafanikio mengi Afrika kama M-Pesa, makampuni ya tech kama Andela, na matumizi ya drone katika sekta ya afya, operating system ya computer kama Ubuntu(Linux). Je, haya yanatosha kutupeleka mbele?

Wadau, naomba mawazo yenu:
1. Afrika inahitaji kufanya nini ili kuwa kinara wa teknolojia duniani?
2. Je, tuna rasilimali za kutosha kuzidi mataifa mengine?
3. Ni teknolojia gani ambazo tunapaswa kuwekeza zaidi?

Karibuni kwenye mjadala! Twende tukaijenge Afrika yetu kwa maarifa na technology!
Swali unalouliza ni sawa na kusema ni lini mbuzi ataweza kua ngombe, bila ya kutawaliwa Wala chochote mungu alivotuumba aliwapa akili nyingi wazungu hatuwezi kuwafikia kwa lolote hata tufanyaje mpka mwisho wa Dunia ova
 
Habari zenu wadau wa JamiiForums!

Leo nimekuja na mada 🔥 inayogusa maendeleo yetu kama Waafrika. Tumeona dunia ikibadilika kwa kasi kutokana na teknolojia, lakini swali ni moja: Kati yetu Waafrika na mataifa mengine ni nani mwenye teknolojia zaidi?

Tukitazama historia, Afrika ilikuwa na teknolojia zake asili kabla ya ukoloni mifumo ya kilimo, ujenzi wa miji kama Timbuktu, na hata matumizi ya sayansi katika tiba pia baadhi ya sehemu kama misri ilikuwa na teknolojia kama pyramid.

Ila leo, tunashuhudia mataifa ya Magharibi na Asia yakiongoza kwa teknolojia za kisasa kama AI, blockchain, biotechnology, na uchunguzi wa anga(aerospace).

Je, sisi Waafrika tuko nyuma kwa sababu ya ukoloni, uongozi mbovu, au ni kwamba tunahitaji kubadilisha mtazamo wetu wa kiteknolojia? Kuna mafanikio mengi Afrika kama M-Pesa, makampuni ya tech kama Andela, na matumizi ya drone katika sekta ya afya, operating system ya computer kama Ubuntu(Linux). Je, haya yanatosha kutupeleka mbele?

Wadau, naomba mawazo yenu:
1. Afrika inahitaji kufanya nini ili kuwa kinara wa teknolojia duniani?
2. Je, tuna rasilimali za kutosha kuzidi mataifa mengine?
3. Ni teknolojia gani ambazo tunapaswa kuwekeza zaidi?

Karibuni kwenye mjadala! Twende tukaijenge Afrika yetu kwa maarifa na technology!
Huwezi kupata jibu sahihi bila kudecolonise na kudadavua tekelinalokuijia mwanangu
 
Swali unalouliza ni sawa na kusema ni lini mbuzi ataweza kua ngombe, bila ya kutawaliwa Wala chochote mungu alivotuumba aliwapa akili nyingi wazungu hatuwezi kuwafikia kwa lolote hata tufanyaje mpka mwisho wa Dunia ova
Akili tumezidiwa tukubali
 
Swali unalouliza ni sawa na kusema ni lini mbuzi ataweza kua ngombe, bila ya kutawaliwa Wala chochote mungu alivotuumba aliwapa akili nyingi wazungu hatuwezi kuwafikia kwa lolote hata tufanyaje mpka mwisho wa Dunia ova
Ishu ya akili Mungu sio mbaguzi katoa akili sawa kwa race zote.
 
Huwezi kupata jibu sahihi bila kudecolonise na kudadavua tekelinalokuijia mwanangu
Japo mwanzoni Africa ilikuwa na technology angalia Misri technology kama ya Suez canal hao watu waliochimba pale walifanya je ukichek lile eneo hadi meli zinapishan cheki pyramid tofali lake hata watu 1000 hawabebi
 
Zinatakiwa zipate kiongozi dikteta atakayekaa madarakani miaka 50, mwenye maono ya kuwekeza kwenye sayansi kivitendo, pamoja na kuwekeza na kuwaendeleza wavumbuzi wote wa ndani.​
 
Back
Top Bottom