Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
- #21
Every Africa country inatakiwa iwe kama South AfricaZinatakiwa zipate kiongozi dikteta atakayekaa madarakani miaka 50, mwenye maono ya kuwekeza kwenye sayansi kivitendo, pamoja na kuwekeza na kuwaendeleza wavumbuzi wote wa ndani.