Nani mwenye ujasiri wa kusahihisha kauli ya Mwalimu Nyerere katika historia ya TANU?

Nani mwenye ujasiri wa kusahihisha kauli ya Mwalimu Nyerere katika historia ya TANU?

Sasa nshagundua ujinga wako nini. Unahusisha waarabu na uislamu.kwahiyo unaona ni bora ungetawaliwa na mwarabu sababu ni mwislam.na waliofanya mapinduzi walikuwa dini gani?

Wewe nioneshe picha ambazo muhamad alkuwa akipigana na makuresh au alipokuwa amejificha kwenye pango na kuna watu wanamtafuta wamuue.

Tungekuwa na akili hiyo hata wazungu wangeachwa sababu wakristo wangeona ni wenzao. Huo ni ubwege. Unaamini mtu anayepinga ukoloni zanzibar anachukia uislamu wakati huo hujui mimi ni dini gani.

Hiki ni kiwango cha lami kabisa.

Hapa tunachojadili ni dhulma waliyofanyiwa hawa ndugu zetu waarabu/waislamu dhidi ya Makafiri okello na Nyerere, wakishirikiana na Abeid Karume kuwaangamiza kwa silaha kali bila ya huruma,,

Na kuhusu kutawaliwa na waarabu ni bora mara elfu, kwa sababu nchi ya zanzibar kama sio %99 basi %100 waislamu, hivyo kuna ubaya gani kuongozwa na ndugu zetu na waislamu wenzetu hawa waarabu! Ubaguzi utawamaliza enyi wagalatia, tena usirudie tena kuongea huo ujinga.


Kwa mujibu wa picha, na historia mbalimbali,,,wazungu ndio watu katili sana hadi sasa. Yaani katika karne hii,,bado wazungu ndio watu waovu na katili zaidi tukifuatiwa na sisi waafrika jinsi tunavyouwana wenyewe kwa wenyewe, hilo liko wazi.


Mifano iko mingi sana,,kwanza picha nyingi sana za mwafrika kuteswa ni za kupigwa..yaan photo. Na wote wanaoonekana ni wazungu wakiwatesa waafrika. Kwa upande mwingine picha nyingi za mwarabu anamtesa mwafrika ni za kuchora. binafsi hii inaniambia mambo mengi sana.




Sitaki maneno mengi mkuu, naomba hizo picha halisi zikiwaonyesha waarabu wakiwatesa babu zetu!!!!!!!!
 
Sasa nshagundua ujinga wako nini. Unahusisha waarabu na uislamu.kwahiyo unaona ni bora ungetawaliwa na mwarabu sababu ni mwislam.na waliofanya mapinduzi walikuwa dini gani?

Wewe nioneshe picha ambazo muhamad alkuwa akipigana na makuresh au alipokuwa amejificha kwenye pango na kuna watu wanamtafuta wamuue.

Tungekuwa na akili hiyo hata wazungu wangeachwa sababu wakristo wangeona ni wenzao. Huo ni ubwege. Unaamini mtu anayepinga ukoloni zanzibar anachukia uislamu wakati huo hujui mimi ni dini gani.

Hiki ni kiwango cha lami kabisa.
Ni Majinga sana haya, yanawaabudu sana Waarabu na kuwaona ni Malaika.
 
Back
Top Bottom