Nani ni mchezaji bora wa UEFA Champion League Msimu wa 2017- 2018

Nani ni mchezaji bora wa UEFA Champion League Msimu wa 2017- 2018

Nani ni mchezaji bora wa UEFA Champion League Msimu wa 2017- 2018


  • Total voters
    57
  • Poll closed .
Huyo Mo Salah amewafanya kuwa na Mizuka kila kitu Mo Salah.

Akipata tuzo ya mchezaji bora wa UEFA naleft JF.
Hivi JF kuna kuleft kama group za WhatsApp eeh!!

Mo Salah anaweza asipewe mchezaji bora wa UEFA kwa hila na ubaguzi wa wazungu tu,hilo halitokua jambo la ajabu,

Salah hahitaji kutangazwa na UEFA kua best bali yeye ni best tayari na ndio maana wakamuumiza kwenye final coz mziki wake wanaujua.
 
Hivi JF kuna kuleft kama group za WhatsApp eeh!!

Mo Salah anaweza asipewe mchezaji bora wa UEFA kwa hila na ubaguzi wa wazungu tu,hilo halitokua jambo la ajabu,

Salah hahitaji kutangazwa na UEFA kua best bali yeye ni best tayari na ndio maana wakamuumiza kwenye final coz mziki wake wanaujua.
Kitu gani kina mfanya Salah awe bora
 
Hivi JF kuna kuleft kama group za WhatsApp eeh!!

Mo Salah anaweza asipewe mchezaji bora wa UEFA kwa hila na ubaguzi wa wazungu tu,hilo halitokua jambo la ajabu,

Salah hahitaji kutangazwa na UEFA kua best bali yeye ni best tayari na ndio maana wakamuumiza kwenye final coz mziki wake wanaujua.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] "Yeye ni Best tayari ndio maana wakamuumiza"
 
Kitu gani kina mfanya Salah awe bora

- Yeye ndio aliekua most consistence player through the season. Tokea msimu umeanza mpaka umemaliza alikua yupo kwenye form nzuri sana. (Ronaldo alikata karibu miezi mitatu anasuasua kabisa kwenye kufunga na kushindwa kucheza vizuri kabisa)
- Ametowa performances bora kabisa za champion league kwenye hatua bora kabisa za Robo Fainali na Nusu Fainall. (wakati ronaldo amecheza mpira mbovu kabisa kwenye nusu fainal pamoja na Fainal)
- Performance yake katika Mech ya Roma Anfield ilikua ndio best performance for any player msimu huu kwenye champion league.
 
- Yeye ndio aliekua most consistence player through the season. Tokea msimu umeanza mpaka umemaliza alikua yupo kwenye form nzuri sana. (Ronaldo alikata karibu miezi mitatu anasuasua kabisa kwenye kufunga na kushindwa kucheza vizuri kabisa)
- Ametowa performances bora kabisa za champion league kwenye hatua bora kabisa za Robo Fainali na Nusu Fainall. (wakati ronaldo amecheza mpira mbovu kabisa kwenye nusu fainal pamoja na Fainal)
- Performance yake katika Mech ya Roma Anfield ilikua ndio best performance for any player msimu huu kwenye champion league.
Umesema mchezaji bora wa Champions league

Salah aliumia mapema sana huez consider performance yake ya robo fainali
Yes Ronaldo alicheza hovyo nusu fainali ya pili na fainali.
Ila kumbuka kuwa alifunga mechi 10 mfululizo zote aki perform.
Salah ana goli 10 assist 4
Ronaldo goli 15 assist 2

Yaa. Kumpita Ronaldo assist 2 ndio kumfanye awe bora? Mkajipange mashabiki wa Salah
 
- Yeye ndio aliekua most consistence player through the season. Tokea msimu umeanza mpaka umemaliza alikua yupo kwenye form nzuri sana. (Ronaldo alikata karibu miezi mitatu anasuasua kabisa kwenye kufunga na kushindwa kucheza vizuri kabisa)
- Ametowa performances bora kabisa za champion league kwenye hatua bora kabisa za Robo Fainali na Nusu Fainall. (wakati ronaldo amecheza mpira mbovu kabisa kwenye nusu fainal pamoja na Fainal)
- Performance yake katika Mech ya Roma Anfield ilikua ndio best performance for any player msimu huu kwenye champion league.
Safi mkuu.
 
Back
Top Bottom