choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Hiv mfungaji bora na mchezaji bora ni sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee huwenda kweli.Sasa unafikiri Ramos alimvunja bega kwanini? Alijua jamaa ni threat.
Sasa kumbe wewe unaongelea top scorer eeeh!! Umeielewa mada lakini?Umesema mchezaji bora wa Champions league
Salah aliumia mapema sana huez consider performance yake ya robo fainali
Yes Ronaldo alicheza hovyo nusu fainali ya pili na fainali.
Ila kumbuka kuwa alifunga mechi 10 mfululizo zote aki perform.
Salah ana goli 10 assist 4
Ronaldo goli 15 assist 2
Yaa. Kumpita Ronaldo assist 2 ndio kumfanye awe bora? Mkajipange mashabiki wa Salah
Nimeweka na assists hujui kusoma?Sasa kumbe wewe unaongelea top scorer eeeh!! Umeielewa mada lakini?
Mkuu siku hizi watu wengi wanadhani top scorer ndio best player!!Hiv mfungaji bora na mchezaji bora ni sawa?
- Yeye ndio aliekua most consistence player through the season. Tokea msimu umeanza mpaka umemaliza alikua yupo kwenye form nzuri sana. (Ronaldo alikata karibu miezi mitatu anasuasua kabisa kwenye kufunga na kushindwa kucheza vizuri kabisa)
- Ametowa performances bora kabisa za champion league kwenye hatua bora kabisa za Robo Fainali na Nusu Fainall. (wakati ronaldo amecheza mpira mbovu kabisa kwenye nusu fainal pamoja na Fainal)
- Performance yake katika Mech ya Roma Anfield ilikua ndio best performance for any player msimu huu kwenye champion league.
Sasa ukisha tia kufunga na ku assist huyo mchezaji bora unamtoa wap?Hiv mfungaji bora na mchezaji bora ni sawa?
Umesema mchezaji bora wa Champions league
Salah aliumia mapema sana huez consider performance yake ya robo fainali
Yes Ronaldo alicheza hovyo nusu fainali ya pili na fainali.
Ila kumbuka kuwa alifunga mechi 10 mfululizo zote aki perform.
Salah ana goli 10 assist 4
Ronaldo goli 15 assist 2
Yaa. Kumpita Ronaldo assist 2 ndio kumfanye awe bora? Mkajipange mashabiki wa Salah
Wewe unayejua kusoma ina maana hukujua kua umeandika pia na magoli ya kufunga? Au mradi tu utoe kashfa za kike?Nimeweka na assists hujui kusoma?
Sasa unafikiri Ramos alimvunja bega kwanini? Alijua jamaa ni threat.
Khaaa!Huwezi consider vipi? alikua ni match winner kwenye both games alafu unasema huwezi konsider?
kuwa na 15 goals sio tatizo wapi umezifunga? mechi za vichakane za Bate?
Salah zaidi ya goalscorer anaifanya timu inacheza vizuri zaidi. tafauti na jamaa yako kazi kuvizia tu.
Sasa wewe ndio unatoa kashfa za mimbaWewe unayejua kusoma ina maana hukujua kua umeandika pia na magoli ya kufunga? Au mradi tu utoe kashfa za kike?
Mtu yeyote anayeujua mpira atakwambia ni Salah,wengine wanaongelea mahaba,Salah ni fighter huwezi mlinganisha na huyo mviziaji.Kura yangu kwa Mo Salah, The boy was the best since kwenye mtoano. His performance against Man cty and Roma was unbelievable
Khaaa!
Yaan kufunga dhidi ya PSG, Juventus, Tot na Dortmund
Ni sawa na kuwafunga Roma, ManCity na Porto?
You guys mlikuwa mna angalia mpira kweli?
Salaha hakukutana na tim yyte ya maana kuanzia makundi mpaka fainali
Haya tusaidie kutuambia ubora wa Maribor ba Dortmund viko sawa?labda ungetusaidia kutwambia ubora Dortmand? timu iliomaliza na point 2 kwenye makundi.
Nakupa mkuu 100% watu wamebakia kukariri tu Ronaldo hawajui kutofautisha mfungaji bora na mchezaji bora. Ronaldo ni mfungaji lakini sio mchezaji bora kulikuwa na watu huwapokonyi mpira kina xavi sijui Iniesta na wako wengi tu.Hiv mfungaji bora na mchezaji bora ni sawa?
Kwa hiyo haiwezekani mfungaji bora akawa mchezaji bora?Nakupa mkuu 100% watu wamebakia kukariri tu Ronaldo hawajui kutofautisha mfungaji bora na mchezaji bora. Ronaldo ni mfungaji lakini sio mchezaji bora kulikuwa na watu huwapokonyi mpira kina xavi sijui Iniesta na wako wengi tu.