Nani ni mchezaji bora wa UEFA Champion League Msimu wa 2017- 2018

Nani ni mchezaji bora wa UEFA Champion League Msimu wa 2017- 2018

Nani ni mchezaji bora wa UEFA Champion League Msimu wa 2017- 2018


  • Total voters
    57
  • Poll closed .
Umesema mchezaji bora wa Champions league

Salah aliumia mapema sana huez consider performance yake ya robo fainali
Yes Ronaldo alicheza hovyo nusu fainali ya pili na fainali.
Ila kumbuka kuwa alifunga mechi 10 mfululizo zote aki perform.
Salah ana goli 10 assist 4
Ronaldo goli 15 assist 2

Yaa. Kumpita Ronaldo assist 2 ndio kumfanye awe bora? Mkajipange mashabiki wa Salah
Sasa kumbe wewe unaongelea top scorer eeeh!! Umeielewa mada lakini?
 
- Yeye ndio aliekua most consistence player through the season. Tokea msimu umeanza mpaka umemaliza alikua yupo kwenye form nzuri sana. (Ronaldo alikata karibu miezi mitatu anasuasua kabisa kwenye kufunga na kushindwa kucheza vizuri kabisa)
- Ametowa performances bora kabisa za champion league kwenye hatua bora kabisa za Robo Fainali na Nusu Fainall. (wakati ronaldo amecheza mpira mbovu kabisa kwenye nusu fainal pamoja na Fainal)
- Performance yake katika Mech ya Roma Anfield ilikua ndio best performance for any player msimu huu kwenye champion league.

Mkuu safi sana wengi wao huendeshwa na mahaba tu ila si uhalisia. Salaah anastahili.
 
Umesema mchezaji bora wa Champions league

Salah aliumia mapema sana huez consider performance yake ya robo fainali
Yes Ronaldo alicheza hovyo nusu fainali ya pili na fainali.
Ila kumbuka kuwa alifunga mechi 10 mfululizo zote aki perform.
Salah ana goli 10 assist 4
Ronaldo goli 15 assist 2

Yaa. Kumpita Ronaldo assist 2 ndio kumfanye awe bora? Mkajipange mashabiki wa Salah

Huwezi consider vipi? alikua ni match winner kwenye both games alafu unasema huwezi konsider?
kuwa na 15 goals sio tatizo wapi umezifunga? mechi za vichakane za Bate?
Salah zaidi ya goalscorer anaifanya timu inacheza vizuri zaidi. tafauti na jamaa yako kazi kuvizia tu.
 
Huwezi consider vipi? alikua ni match winner kwenye both games alafu unasema huwezi konsider?
kuwa na 15 goals sio tatizo wapi umezifunga? mechi za vichakane za Bate?
Salah zaidi ya goalscorer anaifanya timu inacheza vizuri zaidi. tafauti na jamaa yako kazi kuvizia tu.
Khaaa!
Yaan kufunga dhidi ya PSG, Juventus, Tot na Dortmund
Ni sawa na kuwafunga Roma, ManCity na Porto?

You guys mlikuwa mna angalia mpira kweli?
Salaha hakukutana na tim yyte ya maana kuanzia makundi mpaka fainali
 
Wewe unayejua kusoma ina maana hukujua kua umeandika pia na magoli ya kufunga? Au mradi tu utoe kashfa za kike?
Sasa wewe ndio unatoa kashfa za mimba
Nimeweka magoli na assist halaf mtu anachagua kifungu cha magoli tuu ulitaka nimsaidiaje?
Ukitoa magoli na Assist mnataka tumjaji vipi mchezaji kuwa ni bora?
 
Kura yangu kwa Mo Salah, The boy was the best since kwenye mtoano. His performance against Man cty and Roma was unbelievable
Mtu yeyote anayeujua mpira atakwambia ni Salah,wengine wanaongelea mahaba,Salah ni fighter huwezi mlinganisha na huyo mviziaji.
[/QUOTE]
 
Khaaa!
Yaan kufunga dhidi ya PSG, Juventus, Tot na Dortmund
Ni sawa na kuwafunga Roma, ManCity na Porto?

You guys mlikuwa mna angalia mpira kweli?
Salaha hakukutana na tim yyte ya maana kuanzia makundi mpaka fainali

labda ungetusaidia kutwambia ubora Dortmand? timu iliomaliza na point 2 kwenye makundi.
 
Mo Salah is overrated kwa kua anacheza England full stop.
Hana maajabu yoyote ya maana.
Anachokifanya kinafanywa na Ronaldo na Messi mpaka tumekichoka.
Baada ya povu nirudi kwenye mada sasa, Mchezaji bora ni Ronaldo maana:-
-amefunga goli 15 na ametoa assist 2 hivyo ameshiriki kwa 52% kwenye magoli yote ya Madrid msimu huu (33 goals)
-Amefunga mechi 10 mfululizo za UEFA.
-Amekua mfungaji bora wa UCL
-Ameisaidia timu yake kutwaa kombe.
Nipeni takwimu za mchezaji yoyote ambazo ni bora zaidi ya hizo.
 
labda ungetusaidia kutwambia ubora Dortmand? timu iliomaliza na point 2 kwenye makundi.
Haya tusaidie kutuambia ubora wa Maribor ba Dortmund viko sawa?

Maana kwenye magroup ndio Salah alokutana nao hao.akawafunga.
 
Mashabiki wa andunje wote wamehamia kwenye kivuli cha [HASHTAG]#team[/HASHTAG] Mo Salah
 
Hiv mfungaji bora na mchezaji bora ni sawa?
Nakupa mkuu 100% watu wamebakia kukariri tu Ronaldo hawajui kutofautisha mfungaji bora na mchezaji bora. Ronaldo ni mfungaji lakini sio mchezaji bora kulikuwa na watu huwapokonyi mpira kina xavi sijui Iniesta na wako wengi tu.
 
Nakupa mkuu 100% watu wamebakia kukariri tu Ronaldo hawajui kutofautisha mfungaji bora na mchezaji bora. Ronaldo ni mfungaji lakini sio mchezaji bora kulikuwa na watu huwapokonyi mpira kina xavi sijui Iniesta na wako wengi tu.
Kwa hiyo haiwezekani mfungaji bora akawa mchezaji bora?
 
Back
Top Bottom