Nani ni MM, MM1, MM2 na MM3 ndani ya ACT-Tanzania?

Nani ni MM, MM1, MM2 na MM3 ndani ya ACT-Tanzania?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,307
Reaction score
25,932
Yale yaliyofichuliwa ndani ya CHADEMA sasa yanajidhihiri kwatika namna ifananayo ndani ya ACT-Tanzania. Kuna mgogoro mkali unafukuta hasa kuhusu uongozi. Wahusika mbalimbali wanaojiita Kamati Kuu, wenyeviti na nafasi nyingine wanatokeza kila kukicha wakidai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali ya kiuongozi.

Hadi sasa kumekuwa na Kamati Kuu mbili. Kamati Kuu hizi zote zimedai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali. Kimsingi,vikao na maamuzi husika yanabaki kuzunguka kwenye uongozi na mamlaka kama ilivyoshtukiwa ndani ya CHADEMA na wahusika kutimuliwa chamani.

Cha ajabu na faida, mtu kama Samson Mwigamba alitajwatajwa CHADEMA kwenye kile kilichokuwa kikijulikana kama Mkakati wa Mabadiliko. Sasa anatajwatajwa ACT-Tanzania. Mwenyekiti wa muda wa ACT-Tanzania-Bwana Limbu na timu yake anapambana na Mwigamba na timu yake. Demokrasia iko wapi? Ama kweli CHADEMA waliona mbali.

Naomba kujua,ndani ya kadhia hii ya ACT-Tanzania MM,MM1,MM2 na MM3 ni akina nani?

cc Nyakarungu

cc Mwl.Kaijage
 
Last edited by a moderator:
Yale yaliyofichuliwa ndani ya CHADEMA sasa yanajidhihiri kwatika namna ifananayo ndani ya ACT-Tanzania. Kuna mgogoro mkali unafukuta hasa kuhusu uongozi. Wahusika mbalimbali wanaojiita Kamati Kuu, wenyeviti na nafasi nyingine wanatokeza kila kukicha wakidai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali ya kiuongozi.

Hadi sasa kumekuwa na Kamati Kuu mbili. Kamati Kuu hizi zote zimedai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali. Kimsingi,vikao na maamuzi husika yanabaki kuzunguka kwenye uongozi na mamlaka kama ilivyoshtukiwa ndani ya CHADEMA na wahusika kutimuliwa chamani.

Cha ajabu na faida, mtu kama Samson Mwigamba alitajwatajwa CHADEMA kwenye kile kilichokuwa kikijulikana kama Mkakati wa Mabadiliko. Sasa anatajwatajwa ACT-Tanzania. Mwenyekiti wa muda wa ACT-Tanzania-Bwana Limbu na timu yake anapambana na Mwigamba na timu yake. Demokrasia iko wapi? Ama kweli CHADEMA waliona mbali.

Naomba kujua,ndani ya kadhia hii ya ACT-Tanzania MM,MM1,MM2 na MM3 ni akina nani?

cc Nyakarungu

cc Mwl.Kaijage
Petro E. Mselewa yafutayo ni matatizo makuu ya ACT
  1. hakuna democrasia, vijana wengi na wazee hasa wa kigoma wanaamini kuwa limbu ni kiongozi wa Muda na Zitoo ndo mwenyekiti wao....Hii hata mimi ningekuwa kwenye nafasi ya Limbu ningelipinga hill kwa nguvu zangu zote
  2. Hakuna Uwazai
  3. Chama kinamilikiwa na wachache na ndio wenye maamuzi na chama (mwigamba, Kitila and zitto)
  4. Chama kinakosa uwazi kweny mapato
  5. Viongozi na hasa wasemaji wa vyama they dont have direction pia hawana leadership skill
 
Last edited by a moderator:
Sasa kilichokuwa kikipingwa Chadema ni nini? Na wayafanyayo ACT yana tofauti gani? Kuna wakati inabidi mtu utumie zaidi busara kufanya maamuzi kuliko kusukumwa na utashi. Leo hii, hao akina MMs wangekuwa na subira kidogo tu wasingekuwa wanahangaika na chama ambacho hata mwaka hakina.
 
ACT hawana jipya! Wamevurugwa na kuvurugika hasa! Wanakitana kwa mikito yenye laana hawa wasomi walokosa maana. Tazama Kissa anatusi Lissa, Hamisa anatusi Issa! Siri za ndani wanazitoa barazani. kama majina yao hata akili zao zafanana! Busara wameziweka kando, mihemuko imechukua nafasi... Dhambi ya usaliti! Huyu mwenye Migamba, alivua gwanda kwa mbwembwe akitamba, sasa kule hawamtaki nadhani sasa atavaa gamba! hana jipya
 
Yale yaliyofichuliwa ndani ya CHADEMA sasa yanajidhihiri kwatika namna ifananayo ndani ya ACT-Tanzania. Kuna mgogoro mkali unafukuta hasa kuhusu uongozi. Wahusika mbalimbali wanaojiita Kamati Kuu, wenyeviti na nafasi nyingine wanatokeza kila kukicha wakidai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali ya kiuongozi.

Hadi sasa kumekuwa na Kamati Kuu mbili. Kamati Kuu hizi zote zimedai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali. Kimsingi,vikao na maamuzi husika yanabaki kuzunguka kwenye uongozi na mamlaka kama ilivyoshtukiwa ndani ya CHADEMA na wahusika kutimuliwa chamani.

Cha ajabu na faida, mtu kama Samson Mwigamba alitajwatajwa CHADEMA kwenye kile kilichokuwa kikijulikana kama Mkakati wa Mabadiliko. Sasa anatajwatajwa ACT-Tanzania. Mwenyekiti wa muda wa ACT-Tanzania-Bwana Limbu na timu yake anapambana na Mwigamba na timu yake. Demokrasia iko wapi? Ama kweli CHADEMA waliona mbali.

Naomba kujua,ndani ya kadhia hii ya ACT-Tanzania MM,MM1,MM2 na MM3 ni akina nani?

cc Nyakarungu

cc Mwl.Kaijage

Wewe yanakuhusu nini?

Waachie chama chao
 
Please be informed that Roles n responsibilities za MM, MM1, MM2, na MM3 hazijabadilika na haziwezi kubadilika! Hao walipewa majukumu ya kuiangusha CHADEMA, Baada ya majaribio yao kushindwa iliamuliwa kuundwa kwa Chama Mbadala ACT kwaajili ya kuishambulia CHADEMA AM to PM 24/7 ... Bahati mbaya sana Mgao wa ESCROW wakaishia kudhulumiana na hicho ndo kiini cha Mgogoro uliopo ndani ya ACT ...
Yale yaliyofichuliwa ndani ya CHADEMA sasa yanajidhihiri kwatika namna ifananayo ndani ya ACT-Tanzania. Kuna mgogoro mkali unafukuta hasa kuhusu uongozi. Wahusika mbalimbali wanaojiita Kamati Kuu, wenyeviti na nafasi nyingine wanatokeza kila kukicha wakidai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali ya kiuongozi.

Hadi sasa kumekuwa na Kamati Kuu mbili. Kamati Kuu hizi zote zimedai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali. Kimsingi,vikao na maamuzi husika yanabaki kuzunguka kwenye uongozi na mamlaka kama ilivyoshtukiwa ndani ya CHADEMA na wahusika kutimuliwa chamani.

Cha ajabu na faida, mtu kama Samson Mwigamba alitajwatajwa CHADEMA kwenye kile kilichokuwa kikijulikana kama Mkakati wa Mabadiliko. Sasa anatajwatajwa ACT-Tanzania. Mwenyekiti wa muda wa ACT-Tanzania-Bwana Limbu na timu yake anapambana na Mwigamba na timu yake. Demokrasia iko wapi? Ama kweli CHADEMA waliona mbali.

Naomba kujua,ndani ya kadhia hii ya ACT-Tanzania MM,MM1,MM2 na MM3 ni akina nani?

cc Nyakarungu

cc Mwl.Kaijage
 
Yale yaliyofichuliwa ndani ya CHADEMA sasa yanajidhihiri kwatika namna ifananayo ndani ya ACT-Tanzania. Kuna mgogoro mkali unafukuta hasa kuhusu uongozi. Wahusika mbalimbali wanaojiita Kamati Kuu, wenyeviti na nafasi nyingine wanatokeza kila kukicha wakidai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali ya kiuongozi.

Hadi sasa kumekuwa na Kamati Kuu mbili. Kamati Kuu hizi zote zimedai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali. Kimsingi,vikao na maamuzi husika yanabaki kuzunguka kwenye uongozi na mamlaka kama ilivyoshtukiwa ndani ya CHADEMA na wahusika kutimuliwa chamani.

Cha ajabu na faida, mtu kama Samson Mwigamba alitajwatajwa CHADEMA kwenye kile kilichokuwa kikijulikana kama Mkakati wa Mabadiliko. Sasa anatajwatajwa ACT-Tanzania. Mwenyekiti wa muda wa ACT-Tanzania-Bwana Limbu na timu yake anapambana na Mwigamba na timu yake. Demokrasia iko wapi? Ama kweli CHADEMA waliona mbali.

Naomba kujua,ndani ya kadhia hii ya ACT-Tanzania MM,MM1,MM2 na MM3 ni akina nani?

cc Nyakarungu

cc Mwl.Kaijage

Act chama mfu......walitegemea watakuwa mbadala wa chadema ila imekula kwaoooo.......
 
Last edited by a moderator:
Ukweli ni huu;

Zitto, Mwigamba na Kitila hata wakiwa wenyewe wanaweza jistaliti. Si wa kuamini hata siku moooja...



Yale yaliyofichuliwa ndani ya CHADEMA sasa yanajidhihiri kwatika namna ifananayo ndani ya ACT-Tanzania. Kuna mgogoro mkali unafukuta hasa kuhusu uongozi. Wahusika mbalimbali wanaojiita Kamati Kuu, wenyeviti na nafasi nyingine wanatokeza kila kukicha wakidai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali ya kiuongozi.

Hadi sasa kumekuwa na Kamati Kuu mbili. Kamati Kuu hizi zote zimedai kufanya vikao halali na kutoa maamuzi halali. Kimsingi,vikao na maamuzi husika yanabaki kuzunguka kwenye uongozi na mamlaka kama ilivyoshtukiwa ndani ya CHADEMA na wahusika kutimuliwa chamani.

Cha ajabu na faida, mtu kama Samson Mwigamba alitajwatajwa CHADEMA kwenye kile kilichokuwa kikijulikana kama Mkakati wa Mabadiliko. Sasa anatajwatajwa ACT-Tanzania. Mwenyekiti wa muda wa ACT-Tanzania-Bwana Limbu na timu yake anapambana na Mwigamba na timu yake. Demokrasia iko wapi? Ama kweli CHADEMA waliona mbali.

Naomba kujua,ndani ya kadhia hii ya ACT-Tanzania MM,MM1,MM2 na MM3 ni akina nani?

cc Nyakarungu

cc Mwl.Kaijage
 
Ukweli ni huu;

Zitto, Mwigamba na Kitila hata wakiwa wenyewe wanaweza jistaliti. Si wa kuamini hata siku moooja...

usariti ni kitu mbaya sana. mwl kaijage apa ameishapakimbia. huyu kaijage na masud ndio wamefaidi mgao wa ccm kupitia kwa zitto. kwa sasa wanamtukana limbu kuwa hafai. zzk aliwawezesha mradi wa kuuza dagaa ukafa. akawapa gar yake T299 DCF? wakati wavuchaguzi serkali za mitaa wakaambulia mitaa 2 apa kslu. ata watu waliorubuniwa apo mwanzo sasa wanajuta kuifahamu ACT
 
Hayo ya ACT - Tanzania mimi sijui. Mimi niko ACT - Somalia
 
Chama cha wakongo kinachoendesha siasa Tanzania tangu M23 wadhibitiwe hakuna pesa za madini ya wizi kwenda ACT~CONGO na CCM
 
Mgogoro uko planed mnaendelea kuipa umaarufu... Halaf wacha tupasue jipu sie tunao ona mbali ni hiv chama hicho kinategemea mgawanyiko,ndan ya ccm wakat wa kikao cha cc. .. Bt saiv mnaipaza tu... Na ccm ni salama kwan saiv wamesoma upepo hamna mgawanyiko tena
 
Back
Top Bottom