Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo walipofikia,mda si mrefu kila kitu kitakuwa hadharani.Limbu akimwaga mboga Mwigamba anamwaga ugali.Role ya Zitto itafahamika tu.Usaliti dhambi mbaya sana
MM2 puzzle solved!! It's WaitaraNaomba kujua,ndani ya kadhia hii ya ACT-Tanzania MM,MM1,MM2 na MM3 ni akina nani?
Mkuu mbona haya mambo yanafukuliwa kwa kasi sana !MM2 puzzle solved!! It's Waitara
![]()
Siri nzito Mbowe, Zitto kugombana
Imepita miaka minane tangu Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na wenzake walipofukuzwa Chadema kwa madai ya usaliti; sasa ameibuka na kusema ni kosa kubwa analolijutia mpaka leo.www.mwananchi.co.tz
Bottom line ni kwamba Ukweli huwa unachukua miaka mingi ila ipo siku utafichuka tu!! Huyo MM 1 mpaka 3 wote wapo CCM leo hii eti ndio walitaka mabadiliko CHADEMA? imagine wangeachiwa chama leo si CHADEMA ingekua imekufa?Mkuu mbona haya mambo yanafukuliwa kwa kasi sana !
AiseeeeBottom line ni kwamba Ukweli huwa unachukua miaka mingi ila ipo siku utafichuka tu!! Huyo MM 1 mpaka 3 wote wapo CCM leo hii eti ndio walitaka mabadiliko CCM? imagine wangeachiwa chama leo si CHADEMA ingekua imekufa?