chinatown
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,232
- 1,105
Napata mashaka makubwa sana pale ninapoona viongozi wetu wanafanya maamuzi ya kuliangamiza taifa. Mbaya zaidi wale wanaofungua viywa vyao wanatishwa na kupotezwa .hivi heri ya viongozi ni ipi?
Hivi kweli mama anaridhia haya yanayoendelea katika nchi yetu? na kwa nini iwe hivi? hivi mtu mwenye mawazo tofauti ni adui? jamani hata viongozi walioua watu wengiii duniani nao ilifika muda wakafa au kuuliwa.
Taifa letu halina afya kwa kweli embu viongozi wa dini, madhebu tokeeni mbele mkemee suala hili maana hata hao kondoo mnao wachunga wataisha
Hivi kweli mama anaridhia haya yanayoendelea katika nchi yetu? na kwa nini iwe hivi? hivi mtu mwenye mawazo tofauti ni adui? jamani hata viongozi walioua watu wengiii duniani nao ilifika muda wakafa au kuuliwa.
Taifa letu halina afya kwa kweli embu viongozi wa dini, madhebu tokeeni mbele mkemee suala hili maana hata hao kondoo mnao wachunga wataisha