Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Maana hata nikisikia simu za mashabiki wa Yanga katika kipindi cha Sports arena, huwa wanaonyesha kutopendezwa na comments za Edo kuhusu timu hizi mbiliAnajificha lakini anaumia sana Yanga ikifanya vibaya. Hata kwa Arsenal anajificha kwa Liverpool