Nani ni shabiki wa Yanga, nani ni shabiki wa Simba kwa watu maarufu unaowafahamu?

Anajificha lakini anaumia sana Yanga ikifanya vibaya. Hata kwa Arsenal anajificha kwa Liverpool
Maana hata nikisikia simu za mashabiki wa Yanga katika kipindi cha Sports arena, huwa wanaonyesha kutopendezwa na comments za Edo kuhusu timu hizi mbili
 
Mwigulu Nchemba ni Yanga, Ulimboka Mwakingwe ni Yanga, Henry Morris ni Simba, Mrisho Ngasa ni Yanga, Riziwani ni Yanga,
 
Roma Mkatoliki ni simba, Stamina ni Yanga
 
JPM Simba.

Samia Suluhu Simba.

Kassim Majaliwa Simba.

Kwa kifupi, serikali ni mwanachama halali wa Simba.
Duh...wewe ndiyo hujui kitu...kwa PM lakini siyo kwa hao wengine
 
Mkuu shafii sio yanga kweli maana ..kwenye kipindi chao anawakandia sana simba..nilipata nafac ya kusikiliza redio kipindi mo dewji anatikisa kiberiti baada ya matokeo mabovu ya simba Kombe LA mapinduzi ...nilisikia akifurahia hilo jambo na ndo yy aliyetoa update....pia rejea kipindi kile simba makundi na kina al ahly aliwaita simba underdog na hakuwapa nafac ya kutoboa makundi licha ya simba kuwa na kikosi kizuri kipindi kile....mi nilijua n yanga lialia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba simba alikuwa ana kikosi kizuri kuliko A Ahal... Wabongo hawapendi kuambiwa ukweli

Shafii simba damu
 
Mkuu kuhusu Edo nimeendelea kufuatilia naona huyu jamaa ni Simba kabisa

Kwanza jana ilikuwa ni kilele cha wiki ya Mwananchi, lakini akaenda Arusha kwenye game ya simba (okay tufanye ni majukumu yake ya kikazi)

Pili leo nimemsikiliza Sports Arena anasema ameona tu magoli ya Yanga lakini hajaangalia mechi ya Yanga. Haiingii akilini awe shabiki wa Yanga halafu ashindwe/aache kuangalia game ya timu yake (Yanga) kwenye TV.

Tatu kwa mtitiriko wa matukio na uchambuzi wake wa siku zote, utagundua kwamba he is leaning towards simba

Kama kweli umekua na Edo na alikuwa Yanga, basi alihama Yanga, akaenda Simba.

Au

Wewe ni Edo na unaendelea ku cover upenzi wako kwa hizi timu 2

Hitimisho: Edo Kumwembe ni Simba
 
Hahahaha, kuna jambo moja sitakuambia... kibiashara watu alionao kimkataba binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…