How do you know that he passed awayHongera And Let Him Rest In Peace.
Hapana,alishafariki upo sahihi.Mkuu Ulivyo Mu-address Ni Kama
Hayupo Duniani.
Ila Kama Yupo Hai, I'm Sorry.
Mtandao upi wakipuuzi uoHakuna!
Umri Wangu Hauna Lolote
Kuhusu Hicho Nilicho Kisema.
Nimezipata Kwenye Maktaba Za
Mitandaoni.
Daaah! Nimejikuta Machozi Yananitoka Mkuu! Inauma SanaHapana,alishafariki upo sahihi.
Namuombea sana mzee wangu,japo hajawah kuiona senti yangu,alifariki 30 days baada ya kumaliza mitihani yangu ya elimu ya juu.
Mungu anuondolee adhabu ya KABURI
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kiboko ya mabishoo
[emoji115] [emoji115] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106]
Mkono he is rich bt sio to be the richest in TZ nimefanya kazi kwene kampuni yake miaka 6Humfahamu Mkono Vizuri Wewe
Ntakuletea Habari Zake Ngoja Nikague Maktaba Kwanza.
nahitaji kumfahamu na mimi huyu mtuHumfahamu Mkono Vizuri Wewe
Ntakuletea Habari Zake Ngoja Nikague Maktaba Kwanza.