Nani Role model Wako?

Mkono he is rich bt sio to be the richest in TZ nimefanya kazi kwene kampuni yake miaka 6
Kama Nani?

Nakufanya Nae Kazi Ndo Kujua
Net Worth Yake?

Hujui Politicians Wengi Wanaficha
Wealth Zao Kama Huyu?

Ushawahi Kusikia Huyu Mzee Na Governor Wa Bot Waliiba Fedha
Chafu Wakachoma Nyaraka Na Kukimbilia London Wakati Wa Nyerere?

Unajua Huyu Mkono Amekula Billions Of Money Kwenye Case
Ya Tanesco Vs IPTL Akiwa Upande Wa Government Kama Wakili?

Unajua Huyu Mkono Alimchangia Obama Kwenye Harakati Za Urais
Marekani Kama Kumsupport A Lot Of Dollars Mpaka Obama Akaomba
Aonane Nae Oval?

Unajua Huyu Mkono Alitoa Billion 90 Kutoka Mfukoni Mwake Ili Kujenga Shule Za Kisasa Musoma
Vijijini Na Kuikabidhi Serikali?

Unajua Mkono Ana Estate London
Ambayo Huitumia Kwa Mapumziko?

Unajua Huyu Mkono Ndio Anaikopesha Serikali Hela
Za Mikopo Ya Elimu Za Juu
Kote Nchini?

Unajua Huyu Mkono Billion Anaita
Shilingi Kama Shilingi Kumi ?

Unajua Huyu Mkono Mbali Na Kuifilisi Serikali Kwenye Case Ya Tanesco Bhado Anadai Mabillions?

Kama Haujui Haya Huwezi Kumuelewa Kamwe.
 
Asante sana Wervemarcel
 
ata wiki 2 tu inatosha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Huyu Uchwara Mwenyewe Ni Pasua Kichwa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
These are my Heroes
Mama yangu
Tupac Amaru Shakur
Thomas Sankara
Julius K. Nyerere
Jonh P. Magufuli
 
Huyo Wa Mwisho
Ameharibu List Yako Tamu.
Viva JK .Nyerere.
Hahahaa unajua wengi waga hawawi appreciated wakiwa hai au wakiwa bado wako kwenye majukumu yao kwaajili ya Jamii hadi pale watakapo ondoka.
Naamini pia muda uongozi wa JPM utakapo kwisha U 'll look back at hs reign & say sure he did a great job.
 
Hahahaa unajua wengi waga hawawi appreciated wakiwa hai au wakiwa bado wako kwenye majukumu yao kwaajili ya Jamii hadi pale watakapo ondoka.
Naamini pia muda uongozi wa JPM utakapo kwisha U 'll look back at hs reign & say sure he did a great job.
To Me That Will Never Happen.
 
Kwa upande wangu ni ngumu sana kuverify biashara ya mwanamke yaani mwanamke anaweza kuonekana anafanya biashara lakini biashara ile sio inayomfanya awe /aonekane succesful. Kwa mfano ukiangalia bongo movies ungetegemea both wanaume na wanawake waonekane/wawe successful ila ni wanawake ndo huwa wanaonekana successful, je wanawake wana movies nyingi kuliko wanaume hapana ni kwa vile ni zaidi ya bongo movie inayowafanya waonekane hivyo. Kwa number mbili i am not sure kama ni yeye ama there is another force behind her especially kwa vile ni mke wa mbunge......
 
You're Very Right Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…