ata wiki 2 tu inatosha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tunge Mleta Bongo Kwa Mwezi Mmoja. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama Nani?Mkono he is rich bt sio to be the richest in TZ nimefanya kazi kwene kampuni yake miaka 6
Asante sana WervemarcelDaaah! Nimejikuta Machozi Yananitoka Mkuu! Inauma Sana
Kwa Kijana Kukaza Kielimu Ili
Wazazi Wale Matunda Then Katika
Hatua Za Mwisho Unampoteza Mtu Muhimu Duniani Kama Baba.
All In All Hatuwezi Kurudisha Uhai
Focus Mbele Pia Umuenzi Kwa
Mambo Mema Aliyoyafanya Akiwa
Duniani Atafurahi Huko Alipo.
Wote Tutaonja Mauti The Same Way Your Dad Did.
Pamoja Sana SDG.Asante sana Wervemarcel
Umesahau komredi JOSEPH STALIN.Role Models wangu ni kama wafuatao
- Idi Amin Dada
- Adolf Hitler
- Charles Taylor
- Joseph Kony
- Osama Bin Laden
- Saddam Hussein
- Muamar Ghaddafi
Umesahau komredi JOSEPH STALIN.
Hahahaa unajua wengi waga hawawi appreciated wakiwa hai au wakiwa bado wako kwenye majukumu yao kwaajili ya Jamii hadi pale watakapo ondoka.Huyo Wa Mwisho
Ameharibu List Yako Tamu.
Viva JK .Nyerere.
To Me That Will Never Happen.Hahahaa unajua wengi waga hawawi appreciated wakiwa hai au wakiwa bado wako kwenye majukumu yao kwaajili ya Jamii hadi pale watakapo ondoka.
Naamini pia muda uongozi wa JPM utakapo kwisha U 'll look back at hs reign & say sure he did a great job.
Kwa upande wangu ni ngumu sana kuverify biashara ya mwanamke yaani mwanamke anaweza kuonekana anafanya biashara lakini biashara ile sio inayomfanya awe /aonekane succesful. Kwa mfano ukiangalia bongo movies ungetegemea both wanaume na wanawake waonekane/wawe successful ila ni wanawake ndo huwa wanaonekana successful, je wanawake wana movies nyingi kuliko wanaume hapana ni kwa vile ni zaidi ya bongo movie inayowafanya waonekane hivyo. Kwa number mbili i am not sure kama ni yeye ama there is another force behind her especially kwa vile ni mke wa mbunge......1. My mom - Malezi aliyonipatia kwa ujumla...najitahidi na mimi niwapatie watoto wangu
2. Jennifer ( Alaska Tanzania ) kanifundisha kutokata tamaa pale unapohitaji kufanya kitu....kikubwa ni nia na uthubutu...alianza na mayai ila mpaka sasa ana bidhaa nyingi..mafuta, mchele n.k
3. Ruge -ni mtu ambae ukimfuatilia hukosi cha kujifunza kupitia yeye... kwenye fursa msimu wa kwanza nilipata idea ambayo ilinisaidia sana ....
You're Very Right Mkuu.Kwa upande wangu ni ngumu sana kuverify biashara ya mwanamke yaani mwanamke anaweza kuonekana anafanya biashara lakini biashara ile sio inayomfanya awe /aonekane succesful. Kwa mfano ukiangalia bongo movies ungetegemea both wanaume na wanawake waonekane/wawe successful ila ni wanawake ndo huwa wanaonekana successful, je wanawake wana movies nyingi kuliko wanaume hapana ni kwa vile ni zaidi ya bongo movie inayowafanya waonekane hivyo. Kwa number mbili i am not sure kama ni yeye ama there is another force behind her especially kwa vile ni mke wa mbunge......
Kama wewe ulivyo mpumbavu ukamtajanajua kuna mpumbavu atakuja kumtaja MANGE KIMAMBI huku