Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha dah.... wako kwenye Nissan nyeupe?![]()
Pokea Wanakupigia Muonane.
Nimependa Ulivyo Jipambanua .1. My mom - Malezi aliyonipatia kwa ujumla...najitahidi na mimi niwapatie watoto wangu
2. Jennifer ( Alaska Tanzania ) kanifundisha kutokata tamaa pale unapohitaji kufanya kitu....kikubwa ni nia na uthubutu...alianza na mayai ila mpaka sasa ana bidhaa nyingi..mafuta, mchele n.k
3. Ruge -ni mtu ambae ukimfuatilia hukosi cha kujifunza kupitia yeye... kwenye fursa msimu wa kwanza nilipata idea ambayo ilinisaidia sana ....
kuwa mtanzania ni shida sana sasa pongezi za nini ndugu yangu!Duuh!
Kumbe Lowassa Ni Nabii?
Hongera Mkuu.
*********Kuwa Mtanzania Ni Shida Sana
Unakataa Pongezi Ndugu Yangu?
alisemaga tukimchagua ataleta mvua za kichinaHapo Kwenye Mvua Za Take Away
Sijakuelewa.