Nani unamkubali humu JF akikupa ushauri?

karume kenge

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2016
Posts
568
Reaction score
421
Habari wakuu,

Nauliza humu jukwaani kuna watu wanaomba ushauri kwa mambo yao au mambo ya mtu mwingine. Sasa ni nani ambaye akikupa ushauri unaridhika au akitoa ushauri kwa mtu mwingine ushauri huwa na mashiko?
 
Karume kenge yuko juu japo mada zake nyingi zinaonyesha sio msomi halafu upeo wake ni mdogo Sana.
Ni mtu wa kuiga iga mada za watu.
Kwa ushauri wa mambo madogo madogo ya kitoto namkubali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…