Nani unamkubali humu JF akikupa ushauri?

Mi napendaga sana naushauri mazito sana toka kwa wafuatao:
1.Le Mutuz
2. Ze King of Bongo Social Media
3. Le baharia lenye madigirii matatu
4. Le UVCCM lenye miaka 67 na nusu.
 
Habari wakuu,

Nauliza humu jukwaani kuna watu wanaomba ushauri kwa mambo yao au mambo ya mtu mwingine. Sasa ni nani ambaye akikupa ushauri unaridhika au akitoa ushauri kwa mtu mwingine ushauri huwa na mashiko?
Kila Baba ana Baba yake,,
 
Mi napendaga sana naushauri mazito sana toka kwa wafuatao:
1.Le Mutuz
2. Ze King of Bongo Social Media
3. Le baharia lenye madigirii matatu
4. Le UVCCM lenye miaka 67 na nusu.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
 
Kila mmoja anatoa ushauri kulingana na upeo wake,hivyo membee wote wanatoa ushauri na ni jukumu la mwenye hitaji kuchekecha kwani yeye ndiye muamuzi wa mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…