Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
kwa Lissu nadhani anahitaji cheo kikubwa zaidi ya hicho
Ambacho hatopata.kwa Lissu nadhani anahitaji cheo kikubwa zaidi ya hicho
Aliambiwa na Magu atulie atapewa kazi ya kufanya, kwa ujinga wake na kutokuona mbali akakimbia nchi; mtu mjinga namna hiyo atateuliwa na nani?
Chunga mwishoe usikute wewe ndo huo mnyama ulioutajaKwani umeambiwa Mwanasheria mkuu amefukuzwa, akili za nyumbxxxxx ni ujinga mtupu, wanatengeneza imaginary tatizo wenyewe halafu wanaaanza kujiongelesha wenyewe tena.
Kipi hichokwa Lissu nadhani anahitaji cheo kikubwa zaidi ya hicho
Kifo cha Magu.....Kwani umeambiwa Mwanasheria mkuu amefukuzwa, akili za nyumbxxxxx ni ujinga mtupu, wanatengeneza imaginary tatizo wenyewe halafu wanaaanza kujiongelesha wenyewe tena.
[emoji3] mi yangu machoKifo cha Magu.....
Minyumbu inadhani inakaribia kutawala nchi inasahau ya kwamba CCM ni ile ile.....inapanga kabisa eti Lissu mwanasheria mkuu !!???
are you mad?
Kipikwa Lissu nadhani anahitaji cheo kikubwa zaidi ya hicho
Uongozi ni kama mbio za kupokezana vijitiKwani umeambiwa Mwanasheria mkuu amefukuzwa, akili za nyumbxxxxx ni ujinga mtupu, wanatengeneza imaginary tatizo wenyewe halafu wanaaanza kujiongelesha wenyewe tena.
Acha uogaAmbacho hatopata.
Kuna kujenga nchi na Kuna kutanya siasa. Tukitaka kujenga nchi Tundu Lissu aanzie chini, akue akiongozeka.
Tukutaka siasa Tundu Lissu awe vice president
Kwa ufahamu wako kiduchu wewe ungeweza kuishi tanznaia iliyokua chini ya magufuli na upinzani mkubwa vile? f ikiri tena usiandike tu.Aliambiwa na Magu atulie atapewa kazi ya kufanya, kwa ujinga wake na kutokuona mbali akakimbia nchi; mtu mjinga namna hiyo atateuliwa na nani?
Kama kashindwa kuwapa kina nassari,juakali ndo angempa TLAliambiwa na Magu atulie atapewa kazi ya kufanya, kwa ujinga wake na kutokuona mbali akakimbia nchi; mtu mjinga namna hiyo atateuliwa na nani?
Ni yupi huyo , Dadavua tumfahamuMartine William