NANI wa KUIDHIBITI TUME YA UCHAGUZI ?

NANI wa KUIDHIBITI TUME YA UCHAGUZI ?

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Jawabu ni CCM.
Je ni CCM pekee ? Tulikubali hilo na tukilikubali nini matokeo yake ?
Tegemeo kuu ni mwitikio wa wananchi katika majimbo yao majimbo ambayo kwa sasa inakaribia Tanzania nzima wananchi yameshaikataa CCM,uhakika ni kuzuka kufukuzwa wagombea wa CCM mchana kweupe,tumeona baada ya wasanii kumaliza mziki wananchi wanajiondokea na hili ni pigo takatifu kwa CCM.
Tusichoke kuwaamsha wananchi kuwa wao ndio wanaomchagua wamtakae na kumkataa wasio mtaka,ikifika wasio takiwa kufukuzwa au wananchi hujaa na mdundo ukimaliza watu huondoka,imetokea Mwanza ,imetokea Lushoto imetokea Zanzibar wananchi wanaondoka kwenye mikutano ya CCM kwa makundi na tumeshuhudia mgombea kutofika kwenye mkutano kwa kuwa wananchi hawakuhudhuria zaidi ya wavaa jezi ambao husombwa na magari kutoka kila kona.
Sasa ni wakati wa kuwaambia wananchi hawana haja ya kukaa kwenye mikutano ya CCM kwani hawana jipya ,huu ni wakati wa kujipanga kuidhibiti tume kikamilifu kuanzia kwenye uwakala na kuzilinda kura zisiwe frauded na wacheza tokomile.
 
Tume haijajibu tatizo alilonalo Majaliwa kufanya kampeni,na badala yake imechomekea kwenye katazo la lizu kuwa watu wengine wanaruhusiwa kuendelea na kampeni ikiwa Lisu amezuiliwa,ni kutaka kujificha tu. Lisu sasa anapatikana kwenye channel za You tube live na wasikilizaji hawapunngui 5000+ ukiangalia streming za CCM wasikilizizaji hawazidi 300
 
Wagombea wa upinzani watapigiwa kura nyingi sana na wananchi kuliko wale wa ccm. Lkn je, watatangazwa??? Wasipotangazwa ??

Jukumu la wananchi lisiishie kupiga kura tu. Bali pia wahakikishe kuwa kura zao zinaheshimika na kutoibiwa.
 
Tume ya Uchaguzi ni uhuru

Tuache kuwasikiliza wagombea wenye uraia wa Nchi mbili
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Na atashinda kwa 98%

Na hatutabaki vituoni ili kusababisha vita inayopangwa na Wapinzani
Wagombea wa upinzani watapigiwa kura nyingi sana na wananchi kuliko wale wa ccm. Lkn je, watatangazwa??? Wasipotangazwa ??

Jukumu la wananchi lisiishie kupiga kura tu. Bali pia wahakikishe kuwa kura zao zinaheshimika na kutoibiwa.
 
Jawabu ni CCM.
Je ni CCM pekee ? Tulikubali hilo na tukilikubali nini matokeo yake ?
Tegemeo kuu ni mwitikio wa wananchi katika majimbo yao majimbo ambayo kwa sasa inakaribia Tanzania nzima wananchi yameshaikataa CCM,uhakika ni kuzuka kufukuzwa wagombea wa CCM mchana kweupe,tumeona baada ya wasanii kumaliza mziki wananchi wanajiondokea na hili ni pigo takatifu kwa CCM.
Tusichoke kuwaamsha wananchi kuwa wao ndio wanaomchagua wamtakae na kumkataa wasio mtaka,ikifika wasio takiwa kufukuzwa au wananchi hujaa na mdundo ukimaliza watu huondoka,imetokea Mwanza ,imetokea Lushoto imetokea Zanzibar wananchi wanaondoka kwenye mikutano ya CCM kwa makundi na tumeshuhudia mgombea kutofika kwenye mkutano kwa kuwa wananchi hawakuhudhuria zaidi ya wavaa jezi ambao husombwa na magari kutoka kila kona.
Sasa ni wakati wa kuwaambia wananchi hawana haja ya kukaa kwenye mikutano ya CCM kwani hawana jipya ,huu ni wakati wa kujipanga kuidhibiti tume kikamilifu kuanzia kwenye uwakala na kuzilinda kura zisiwe frauded na wacheza tokomile.
There is one and only Mbabe. The United States of America. CCM na tume yao watajuta kwa wanayoyafanya mwaka huu
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Na atashinda kwa 98%

Na hatutabaki vituoni ili kusababisha vita inayopangwa na Wapinzani
Huyo mbaguzi, muuaji na mzandiki utamchagua wewe na misukule wenzako. Ila watanzania wengi tutamchagua kwa nguvu Tundu Antiphas Lissu
 
Huyo mbaguzi, muuaji na mzandiki utamchagua wewe na misukule wenzako. Ila watanzania wengi tutamchagua kwa nguvu Tundu Antiphas Lissu
20201003_101328.jpg
mtajiua sana mwaka huu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Sisi Watanzania tuliowengi tutamchagua Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania

Na atashinda kwa 98%

Na hatutabaki vituoni ili kusababisha vita inayopangwa na Wapinzani
Sema Mimi usisemee wengine maaana hawana fikra fupi Kama ww
 
Chadema tulieni Armstadam anaona kila kitu.
msifanye vurugu wala msiharibu amani Robert Armstadam anandaa kitabu chenye uzito wa kg 70 kuonyesha ni jinsi gani serikali ya Tanzania inavyowashughulikia wanasiasa kwa mujibu wa sheria nataratibu za nchi.
 
Vijana wenzenu wa Chadema washaanza kujinyonga baada ya Chadema kukataliwa hehe[emoji3][emoji3]

Mwaka huu mtaimba kila lugha
Tatizo la mpumbavu ni moja
Hana uelewa Wala uchungu na kitu chochote kwaiyo wa bwana Bia ni mpumbavu na utafakari ubongo wako utakua mbovuuu
 
Tume ya Uchaguzi ni uhuru

Tuache kuwasikiliza wagombea wenye uraia wa Nchi mbili
Tulia wew kibwetele Mataga kama Sheria zetu zinaruhusu uraia wa nchi mbili na tume imempitisha haikuona tatizo wew unawashwa nini? Tundu Lissu ndio rais ajaye Kibabu chenu kijiandae kurudi kwao Bujumbura hatutaki majitu Makatili, mauaji sasa baathi.
 
Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania atashinda kwa 98%

Jiandae kujiua tu vijana wenzio wa Chadema washaanza kujinyonga
Tulia wew kibwetele Mataga kama Sheria zetu zinaruhusu uraia wa nchi mbili na tume imempitisha haikuona tatizo wew unawashwa nini? Tundu Lissu ndio rais ajaye Kibabu chenu kijiandae kurudi kwao Bujumbura hatutaki majitu Makatili, mauaji sasa baathi.
 
Wagombea wa upinzani watapigiwa kura nyingi sana na wananchi kuliko wale wa ccm. Lkn je, watatangazwa??? Wasipotangazwa ??

Jukumu la wananchi lisiishie kupiga kura tu. Bali pia wahakikishe kuwa kura zao zinaheshimika na kutoibiwa.
Wapinzani watapata kura nyingi kuliko CCM kwa vigezo gani?. CCM ina watu wengi sana, yamkini kuliko ninyi wa chama cha Mbowe. Bila shaka, vyama vyote vya upinzani ukitoa cha Mbowe watamchagua JPM, Mzalendo namba 1.
 
Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania atashinda kwa 98%

Jiandae kujiua tu vijana wenzio wa Chadema washaanza kujinyonga
Chadema kwisha, kwisha, kwisha kabisa.Ndembendembe, kifo cha mende chalii... Wapi Babu duni Haji.
 
Wapinzani watapata kura nyingi kuliko CCM kwa vigezo gani?. CCM ina watu wengi sana, yamkini kuliko ninyi wa chama cha Mbowe. Bila shaka, vyama vyote vya upinzani ukitoa cha Mbowe watamchagua JPM, Mzalendo namba 1.
Umeamua kujipa moyo ili usipate stress. Safi sana
 
Back
Top Bottom