Nani wa kulaumiwa katika usajili huu wa kipa Robertinho au head of scouting aliyeajiliwa na Simba sc kwa lengo la kuleta wachezaji Bora??

Nani wa kulaumiwa katika usajili huu wa kipa Robertinho au head of scouting aliyeajiliwa na Simba sc kwa lengo la kuleta wachezaji Bora??

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Baada ya kufanyiwa vipimo vya afya imebainika kuwa, golikipa wa klabu ya Simba SC, Jefferson [emoji1054] ana injury itakayomuweka nje ya pitch kwa muda mrefu ujao.

Klabu ya Simba imeanza kutafuta golikipa mwingine ikiwa imesalia siku moja kabla ya dirisha la (CAF) halijafungwa.

My take hii inafikirisha sana Tena sana nafasi ya kipa ni nafasi nyeti Kama huna kipa Bora Basi timu yako itasuasua tu hata ukiwa una mabeki wa namna gani.

Kwa huu usajili wa kipa ndani ya Simba sc Kuna uhuni ndani yake na kundi la watu wachache limepiga hela limeleta kanyaboya.

1690720139367.jpg
 
Simba SC bado Iko kienyeji sana timu yetu bado sana inasajili kwa lonya lonya, kelele mingi ufanisi sifuri timu inafumuka Kila mwaka hovyo
Wewe umesaini mchezaji gani wa maana..ameshindwa kulipa misharaha mikubwa watu wanakimbia
 
Bangala au feisal
Bado uwezekano upo ila sitakwambia kwa jinsi gani anaweza ingia
Kuna mtu kuna mada ilikuja kuhusu Bangala nilimwambia uwezekano wa Bangala kuja Simba upo ila nikakataa kumwambia ni kwa njia gani maana uto wangeshtuka. Hii ndiyo njia niliyokuwa naiona, yule kipa aliletwa ili iwe geresha kwa Yanga kuachana na Bangala wakijua Simba imemaliza nafasi za kusajili. Nilijua wakimuachia tu, imekula kwao. Simba itachukua kipa wa hapa hapa Tanzania.
 
Simba ni SIKIO la kufa.

Nilimtumia Email KAJULA.

Nilimuonya kutosajili wachezaji Nje ya Africa.
Nikaambatanisha na mifano.

1. Dejan.
2. Santos.
3. Wilker Da silver.
4. Falager.

Lakini wapi.
LEO AIBU IMEWAPATA.
 
,..................
.
Najua wewe ni mwelewa sana.
.
Simba imejaza Mawinga wengi mno
Miquesson.
Saido.
KIBU.
Chama.
Akram
Onana nk.
.
Hakuna Beki. Wala kiungo mkabaji WA MAANA.
Means akiumia Inonga au akiwa na ADHABU hakuna proper Replacement yake.
.
Kwanini msisajili mchezaji aina ya Bangala ambaye anaweza kucheza Beki na kiungo?????
.
Alex Ferguson anasema safu Bora ya Ushambuliaji inashinda MAGOLi.
Safu Bora ya ulinzi inashinda MATAJI.
.
KUPANGA NI KUCHAGUA
 
Back
Top Bottom