dah! sore hapo nilikusudia mwanaume ambae ana feeling na huyo mdada.
urafiki inawezekana kama mdada wenyewe amefanana na marehem remmy ongala, lakini kama mdada kakamilika kila idara ni ngumu sana aisee. mimi bana nikiwa na waifu deili navaa sunglass ili asinishtukie. hii jinsia yetu ina hisia za mishtuko ya ghafla ghafla.
hahahahhaahhah lol
ndo maana mie naweye tunapata maana merehemu Remmy Ongala mwanafunzi kwangu hhahahah lol
hahah lol
i hope hutakuwa unamshika mkono..
maana mnatabia fulani ukimwona mwanamke labda kaacha mapaja nusu nje..
mnatabia ya kubonyeza mikono ...haah lol
bwana ae mie naamini ugomvi wa mwanamke na mwaume hautakaa uishe..
yaani ni Israel na Palestine .....
maana vishawishi na mitengo ni mingi sana ..
vijana ni wepesi sana wa kuingia kwenye mitego...
na sisi tunajifanya ma lawyer wa kutaka kurekebisha kila kitu...
peace
AD