Angalia video,, mbeya city hawabishi,,, Mbumbumbu wanabishaHuu Ni Upimbi Wa Wazi Kabisa! Huyu Namba 8 Ni Yule Namba 6 baada Ya Kukimbia Na Kufika Kati Ndiyo Akabandikwa Namba 8.
Hebu Mwangalie Movement Yake Hapo Alipo Katika Picha Ya Juu Mstari Wa Kati Unaonekana na Hapana Mtu!
Lakini Picha Ya Chini Kwenye Mstari Wa Kati Pana Mtu! Katokea Wapi?
inaonesha Wazi Kuwa Hiyo movement Yake anakimbia Kutokea Nyuma ambako Mulimuamdika Namba 6 baadae Yeye Yeye Mukamuandika Namba 8.
Angalia video ndio utaelewa kuwa namba 6 si namba naneHuu Ni Upimbi Wa Wazi Kabisa! Huyu Namba 8 Ni Yule Namba 6 baada Ya Kukimbia Na Kufika Kati Ndiyo Akabandikwa Namba 8.
Hebu Mwangalie Movement Yake Hapo Alipo Katika Picha Ya Juu Mstari Wa Kati Unaonekana na Hapana Mtu!
Lakini Picha Ya Chini Kwenye Mstari Wa Kati Pana Mtu! Katokea Wapi?
inaonesha Wazi Kuwa Hiyo movement Yake anakimbia Kutokea Nyuma ambako Mulimuamdika Namba 6 baadae Yeye Yeye Mukamuandika Namba 8.
Hahahaaa mweeYanga wamezoea wenzao wawage pungufu, hapa wanalalamika kwa nini walikuwa 11 uwanjani?? Wanataka wao Mbeya city wawe 10 alafu wao 11.
Endapo mchezaji aliepata redcard hatotoka uwanjani refa atasimamisha mpira na kumlazimisha atoke akikataa atasimamisha mchezo na kupiliza kipenga kumaliza na adhabu huikumba timu husika kwa kunyanganywa ushindi.imetokea huko majuu si ajabu mbeya wakaachia point na magoli matatuAngalia video ndio utaelewa kuwa namba 6 si namba nane
kwahiyo refa jana alimtoa mchezaji wa mbeya akagoma ndio refa akaamua kumaliza mpira au?Endapo mchezaji aliepata redcard hatotoka uwanjani refa atasimamisha mpira na kumlazimisha atoke akikataa atasimamisha mchezo na kupiliza kipenga kumaliza na adhabu huikumba timu husika kwa kunyanganywa ushindi.imetokea huko majuu si ajabu mbeya wakaachia point na magoli matatu
Huu ushabiki maandazi nauchukia basis tu. Mimi sio shabiki wa mipira yenu hii ya ovyo ovyo lakini mtu anapoleta hoja jadili hoja. Chirwa anakujaje kwenye suala la wachezaji kuzidi uwanjani? Kama kafanya faulo na Refa katoa kadi tofauti na uliyotaka huo ni mjadala mwingine. Hapa tunataka kujua ni nani anawajibika na kosa la mchezaji mmoja kutolewa kwa kadi nyekundu lakini bado uwanjani wakabaki 11?!
!
Nani Huruhusu Mchezaji Kutoka Na Nani Huruhusu Mchezaji Kuingia? Nani ni Mtunza Kumbukumbu..... Chirwa Kacheza Rafu ya Red Card Kaachiwa Tu Kirahisi
Wewe ni shabiki wa Simba bila shaka. Ila mwenye akili zako.Bench la ufundi la mbeya city, ila matokeo ya uwanjani yabakie kama yalivyo!
Hoja yako ni ipi? Namba 6 kuwa namba 8 au kejeli za Yanga za mwaka jana?Kwa Kejeli Walizotoa Mashabiki Wa [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Zidi Ya [HASHTAG]#Simba[/HASHTAG] Last Season Sikufikiria Kama [HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Nao Watadai Points Za Mezani Kiasi Hichi.
Je referee alisimamisha mchezo? Je mchezaji aligoma kutoka?Endapo mchezaji aliepata redcard hatotoka uwanjani refa atasimamisha mpira na kumlazimisha atoke akikataa atasimamisha mchezo na kupiliza kipenga kumaliza na adhabu huikumba timu husika kwa kunyanganywa ushindi.imetokea huko majuu si ajabu mbeya wakaachia point na magoli matatu
Mwaka Jana Kagera..Banda alipiga ngumi..msiwe wajinga..mpigwaji alimprovoke Chirwa kwa mini akae njiani wakati hakuna mpira...marehemu ana kosa au kauwa bila ya kukusudia mahakamani!
!
Nani Huruhusu Mchezaji Kutoka Na Nani Huruhusu Mchezaji Kuingia? Nani ni Mtunza Kumbukumbu..... Chirwa Kacheza Rafu ya Red Card Kaachiwa Tu Kirahisi
Huu sasa uongo yalifanyika mabadiliko dakika 96 baada ya eliudi kuumia akaingia mtu mwengine tatizo alietolewa alikua kwenye machera hakujua kama amefanyiwa mabadiliko alivomaliza kutibiwa akamuomba refa kurudi uwanjani na refa akamruhusu, direct kosa ni la muamuzi.Wengine wanasema mchezaji aliyetolewa kwa kadi nyekundu alirudi kinyemela uwanjani.
Wakupongezwa na Mbea City kwa kuweza kufanikisha hii mbinu ya ushindi.
Mwisho wapata matokeo waliyoyatarajia.
Mwaka Jana Kagera..Banda alipiga ngumi..msiwe wajinga..mpigwaji alimprovoke Chirwa kwa mini akae njiani wakati hakuna mpira...marehemu ana kosa au kauwa bila ya kukusudia mahakamani
Haea hawana hoja. Walichobakiwa nacho ni kejeli zisizo na maana yoyoteHoja yako ni ipi? Namba 6 kuwa namba 8 au kejeli za Yanga za mwaka jana?