Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
ngoja nitafute namba yke nimwendee hewanitehetehe .............
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngoja nitafute namba yke nimwendee hewanitehetehe .............
Hahahahhh. Hapana mkuu, mie nimejiunga mwezi Machi 2007, baada ya kusoma makala flani ya Mwanakijiji kwenye Fikra pevu, ndipo nikavutiwa. Those days nilikua nje ya nchi, kwa hiyo JF na Issa Michuzi blog ndio zilikua gateways za taarifa zote za nyumbani, kabla hawa kina Millard Ayo na wenzao hawajawa na hivi viji-blogs na tovuti. Watu wa mwanzo mwanzo kujiunga na JF ni akina Le Mbebez (Willy Malecela), Fikra Duni, Mwawado, Kasheshe, Nyani Ngabu, Ole na wengine. Enzi hizo iliitwa Jambo Forums, kabla haijabadilishwa jina mnamo 2008 na kiutwa Jamii forums. Kumbukumbu nzuri sana hizi
Sana tu. JF tumeitoa mbali sanaHuu Uzi ni mzuri kufuatilia na kupata Historia ya JF.
mm nilianzia jambo forum wakati ule ilikuwa chini ya michuzi blog sasa sijui inakuwaje hapa mkuuTuwafanyie annivessary ya 10 years. ma-mods tusiwaweke.
Kuweka rekodi sawa, Jambo Forums haijawahi kuwa chini ya Michuzi. Ile ya Michuzi ni Blog (mmiliki anaamua nini kiandikwe), hii ni forum (sisi ndo tunaamua nini kiandikwe).mm nilianzia jambo forum wakati ule ilikuwa chini ya michuzi blog sasa sijui inakuwaje hapa mkuu
Mwanamalundi kipindi cha nyuma kila post aliyokuwa akisoma comment yake ilikuwa ni HAYAKUHUSU,siku hizi sijui km ana huo utaratibu tenaNasikia Mwanamalundi ... Sameke Na Akina Igubh'o Ndo Walikuwa Wa Kwanza Kujiunga Jf ... Source Ni Babu Yake na Babu Kizaa Babu Yake Na Babu Yangu ...
Siku Hizi Ameadimika Sana Humu Ndani Sijui Kapotelea Wapi ... !Mwanamalundi kipindi cha nyuma kila post aliyokuwa akisoma comment yake ilikuwa ni HAYAKUHUSU,siku hizi sijui km ana huo utaratibu tena
Dah.. mbona nimeandika kwa kiswahili chepesi sana??? 🙂ukiwa na maana????
Unanini ndani.?kuna mtandao ulikuwa unaitwa WAYN.COM huu ulikuwa nouma miaka ya 2000 mpaka leo
Dah.. Kama nawe ni kapuku basi huwezi kuelewa[emoji4]ukiwa na maana????