Nani walikuwa watu wa kwanza kwanza kujiunga JF?

Nani walikuwa watu wa kwanza kwanza kujiunga JF?

Hahahahhh. Hapana mkuu, mie nimejiunga mwezi Machi 2007, baada ya kusoma makala flani ya Mwanakijiji kwenye Fikra pevu, ndipo nikavutiwa. Those days nilikua nje ya nchi, kwa hiyo JF na Issa Michuzi blog ndio zilikua gateways za taarifa zote za nyumbani, kabla hawa kina Millard Ayo na wenzao hawajawa na hivi viji-blogs na tovuti. Watu wa mwanzo mwanzo kujiunga na JF ni akina Le Mbebez (Willy Malecela), Fikra Duni, Mwawado, Kasheshe, Nyani Ngabu, Ole na wengine. Enzi hizo iliitwa Jambo Forums, kabla haijabadilishwa jina mnamo 2008 na kiutwa Jamii forums. Kumbukumbu nzuri sana hizi

Huu Uzi ni mzuri kufuatilia na kupata Historia ya JF.
 
mm nilianzia jambo forum wakati ule ilikuwa chini ya michuzi blog sasa sijui inakuwaje hapa mkuu
Kuweka rekodi sawa, Jambo Forums haijawahi kuwa chini ya Michuzi. Ile ya Michuzi ni Blog (mmiliki anaamua nini kiandikwe), hii ni forum (sisi ndo tunaamua nini kiandikwe).
 
Nasikia Mwanamalundi ... Sameke Na Akina Igubh'o Ndo Walikuwa Wa Kwanza Kujiunga Jf ... Source Ni Babu Yake na Babu Kizaa Babu Yake Na Babu Yangu ...
Mwanamalundi kipindi cha nyuma kila post aliyokuwa akisoma comment yake ilikuwa ni HAYAKUHUSU,siku hizi sijui km ana huo utaratibu tena
 
Mwanamalundi kipindi cha nyuma kila post aliyokuwa akisoma comment yake ilikuwa ni HAYAKUHUSU,siku hizi sijui km ana huo utaratibu tena
Siku Hizi Ameadimika Sana Humu Ndani Sijui Kapotelea Wapi ... !
 
Back
Top Bottom