Heshima wakuu....
Ninayo admission ya masters katika chuo cha kilimo SUA Morogoro. Tatizo ni kuwa nimekosa scholarships. Naombeni msaada wa taarifa ni namna gani naweza kupata scholarship kwa ajili ya hapo kusoma hapo SUA.
Ni masters ya miaka 2(Msc. Animal Science).
Ninayo admission ya masters katika chuo cha kilimo SUA Morogoro. Tatizo ni kuwa nimekosa scholarships. Naombeni msaada wa taarifa ni namna gani naweza kupata scholarship kwa ajili ya hapo kusoma hapo SUA.
Ni masters ya miaka 2(Msc. Animal Science).