DOKEZO Nani yuko nyuma ya Danguro Rainbow Beach? Wanatuharibia watoto. DC Kinondoni na Mkuu Jeshi la Polisi mlitazame hili

DOKEZO Nani yuko nyuma ya Danguro Rainbow Beach? Wanatuharibia watoto. DC Kinondoni na Mkuu Jeshi la Polisi mlitazame hili

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ni danguro la mabinti wadogo sana wengine wanawake watu wazima eneo la Mbezi Beach - Rainbow

Polisi Kawe wameshaaambiwa sana lakini wanachofanya wanabeba wanawake wakifika gizani wanawaachia wanarudi tena usiku huo huo! Huku Beach imegeuka Lodge, walinzi Shirikishi wanawalinda na kuvuta chao asubuhi.

Polisi walikuja majuzi wakabeba mabinti kadhaa lakini asubuhi wako mule mule tena wanajitapa wakisumbua sana tunawapa.

Ushauri tu, DC piteni kule usiku, mbaya zaidi ukiacha wale wasio na uwezo wa lodge kwenda mchangani kupiga short kuna kabali hapo hapo kina vyumba 3 hivi, vyumba hivyo wanafanyia uchafu kama. Wote nusu saa. Hatukatai wanasitiri ila hawa mabinti wanaoliwa Mchangan ni kutuzalilisha sana.

Watoto wanaamka kwenda asubuhi shuleni wanakutana nao wamevaa uchi kabisa na wakikuta mahandsome wetu wanaenda shule wanawafunulia.

Embu tunaomba mlifanyie kazi.

Operation Riverside isisiishie hapo ije na huku.
 
Wewe mgeni kwa kiongozi Piddy? Hizo ndio zake..ila kwa uzito wa HOJA ,ni sawa tu kuandika kwa herufi kubwa ..DC hebu tatua hiyo changamoto asap
 
Wewe mgeni kwa kiongozi Piddy?..hizo ndio zake..ila kwa uzito wa HOJA ,ni sawa tu kuandika kwa herufi kubwa ..DC hebu tatua hiyo changamoto asap
Wageni kuwasaidia shidaaa hizi smart gin zinawaua na macho hawataki kuacha a anaona z
 
Wageni kuwasaidia shidaaa hizi smart gin zinawaua na macho hawataki kuacha a anaona z
Polisi kawe kwa dili tena
Hivi yule mkuu wa kituo smbdy
Mrema jina kdg limentoka yupo
😄

Ova
 
Riverside gani mbona wamejaa kutwa nzima? NENDA Zambezi ujionee
 
Polisi kawe kwa dili tena
Hivi yule mkuu wa kituo smbdy
Mrema jina kdg limentoka yupo
😄

Ova
Alihamishwa mkuu wamepita kama watatu baada yakee wee weee paleness hataree asikwambje mtu icu
 
Back
Top Bottom