Nani yuko nyuma ya viewers wa youtube kwenye ngoma mpya ya baraka?

kababae

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2017
Posts
280
Reaction score
246
Habari weekend wakuu.

Kumekuwa na changamoto anazopambana nazo kwa sasa mwanamuziki baraka da prince kwenye ngoma yake mpya ya sometimes kuwa ngoma yake inapatika youtube mara inapotea yani haieleweki na viewers wala.hawaongezeki. je ni nani yuko nyuma ya uhuni huu ambao unafelisha mziki wa baraka??

Ushauri: baraka inapaswa kujua kuwa mziki wa bongo unawatu ambao wakimua uhit hata kama unanyimbo.mbaya utahit na pia wakimua usihit pia utapotea.. ajifunze kumuheshimu na kunyenyekea kila mtu. Ajifunze kwa diamond, ni mnyenyekevu hata kama ndio ane walipa maboss zake
 
Kitu anachopaswa kufanya Baraka amcheki Diamond ampe mkakati wa kupiga fake views tu. Hakuna namna.
Hao fake viewers mbona youtube uwa haiwaondoi kama kweli ni fake?
Maana youtube uwa wanaondoa fake viewers baada ya muda flani.
Mond bin laden katisha bwana ukitaka jua ilo muulize AY alipompa collabo alipata viewers ambao hajawahi kupata toka aanze kuimba
 
Uyu jamaa kiburi na majivuno vitamuondoa kweny game kuna watu kweny game lazima uwaheshimu upate maisha, sasa yeye anafanya opposite ajui kula na kipofu uyu mtu,
Tatizo baraka anajiona anajua kuliko watu wote yani yeye mara aponde ngoma za wenzake mara akiondoka sehemu adiss management na mengine.
Kidbway alipoondoka kwake akalalamika watu wakamsema kid lakini ndani ya muda mfupi dogo kabadili management mbili na kote anadiss
 
Mkuu hiy signature yako, ni kweli le baharia alisema hivyo?
YES,ALISEMA,kipindi kile yuko mstari wa mbele issue ya Ruge,gwajima na bashite,huoni siku hizi yuko kimya,wadau mjini washamshtukia siyo,kumbuka alivyobishana na mange issue ya Majizo kuuza poda,siku chache baadaye majizoo alivyotajwa na bashite jamaa akamkandia mbayaaa hadi ka lulu kakasirika bwanake kufanyiwa vile kakamuita shoga..anyway ni kweli aliandika hivi kuhusu ruge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…