Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Heshima kwenu wakuu.
Natamani sana kukimbia kufukuza kitambi cha kizushi kwa muda wa mwezi mmoja mfululizo; hii ni Jumatatu-Jumapili asubuhi. Tunadamka mapema alfajiri sana tunakula kona ya Africana kuelekea beach mpaka mwisho kabisa kule wanapokodisha boti za kwenda Mbudya Island. Nahitaji mtu mwenye dhati na mwanaume. Kama ni mwanamke awe mtu wa mazoezi kweli.
Maana kwa kweli nimechemka mazoezi ya peke yangu. Nashindwa kuwa na muendelezo au kufika lengo. Ya wawili au zaidi huwa nakua na uwezo wa kufikia azma.
Karibuni!
Natamani sana kukimbia kufukuza kitambi cha kizushi kwa muda wa mwezi mmoja mfululizo; hii ni Jumatatu-Jumapili asubuhi. Tunadamka mapema alfajiri sana tunakula kona ya Africana kuelekea beach mpaka mwisho kabisa kule wanapokodisha boti za kwenda Mbudya Island. Nahitaji mtu mwenye dhati na mwanaume. Kama ni mwanamke awe mtu wa mazoezi kweli.
Maana kwa kweli nimechemka mazoezi ya peke yangu. Nashindwa kuwa na muendelezo au kufika lengo. Ya wawili au zaidi huwa nakua na uwezo wa kufikia azma.
Karibuni!