Marapai
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 314
- 376
Inaitwa Afghanistan the graveyard of Empires
USSR walikuwepo miaka ya 80 wakashindwa na Mujahdeen (wakisaidiwa na USA)
Taliban wakaingia mwishoni mwa miaka ya 90 ikawa rasmi sasa ni Unstable, Rogue state, safe heaven for radical, extremist terror group kama Alqaeda wakajitanua mpk maeneo ya Pakistan - Pashtun.
September 11 2003 wakafanya yao. Bush kaanzisha military campaign dhidi yao, imeridhishwa kwa Obama, Trump, Biden leo miaka karibu 20. More than 2 trillion $$ zimetumika.
Leo troops za US & UK wanafungasha virago Taliban wamerudi. Wanateka miji kama wanatembea nani ana sponsor hawa jamaa?
USSR walikuwepo miaka ya 80 wakashindwa na Mujahdeen (wakisaidiwa na USA)
Taliban wakaingia mwishoni mwa miaka ya 90 ikawa rasmi sasa ni Unstable, Rogue state, safe heaven for radical, extremist terror group kama Alqaeda wakajitanua mpk maeneo ya Pakistan - Pashtun.
September 11 2003 wakafanya yao. Bush kaanzisha military campaign dhidi yao, imeridhishwa kwa Obama, Trump, Biden leo miaka karibu 20. More than 2 trillion $$ zimetumika.
Leo troops za US & UK wanafungasha virago Taliban wamerudi. Wanateka miji kama wanatembea nani ana sponsor hawa jamaa?