Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
Nchi hiyo ..Taifa hilo lina wanaume wengi kuliko wanawake... Tazama vizuri!!Waarabu wana hela sana - ndiyo wanaowafadhili hao jamaa.
Wana reserve ya Mafuta kwa hadi miaka 300 ijayo.
Wamarekani na nchi za Ulaya zipo hapo wafiwa na silaha za kisasa na nguvu zote za kijeshi na intellijensia sasa miaka 20..... nia yao nini???
Waarabu Lazima wajikinge..Na waJilinde ili moto usiwafikie!! tafakari