Na sio nchi tu! Bali mataifa kumi yenye nguvu kiuchumi, kijeshi, teknolojia na intelejensia. Tatizo watu wanaamini sana propaganda toka CNN, BBC, CNBC, ITV na wengine wenye maana ya kufanya hivyo.Bro dunia hii inaendeshwa kitofauti sana na watu wengi tunavyofikiri.
Hivi mtu anashindwa kujiuliza ni vipi kikundi kama Taliban kiwashinde maarifa coalition ya nchi zilizo advance kwa kiasi kikubwa kwenye military na technology?
Jibu linabaki kuwa hao hao ndio wanaowapa pesa, silaha na modern technologies.
Umesahau "Kunduz" na Milima ya "Torabora" mzeeTaleban wazee wa Pashtun, khost, Peshawal-Pakistan, wazee wa handas Kabul na Kandahar..
hahahahaha, nchi ngumu sana ile pamoja na ule ukanda wote kuanzia kashmir kuja mpaka Islamabad to Karachi - Pakistan..
Marekani!Inaitwa Afghanistan the graveyard of Empires
USSR walikuwepo miaka ya 80 wakashindwa na Mujahdeen (wakisaidiwa na USA)
Taliban wakaingia mwishoni mwa miaka ya 90 ikawa rasmi sasa ni Unstable, Rogue state, safe heaven for radical, extremist terror group kama Alqaeda wakajitanua mpk maeneo ya Pakistan - Pashtun.
September 11 2003 wakafanya yao. Bush kaanzisha military campaign dhidi yao, imeridhishwa kwa Obama, Trump, Biden leo miaka karibu 20. More than 2 trillion $$ zimetumika.
Leo troops za US & UK wanafungasha virago Taliban wamerudi. Wanateka miji kama wanatembea nani ana sponsor hawa jamaa?
Sidhani kama wakubwa wamewakatia tamaa, shida yao kubwa ilikua ni Osama ambaye tayari waliisha muua so hawana interest na Afganistan any more.Wakati mwingine mabavu hayasaidii hata kama wewe ni super power,ona sasa US na Nato wametolewa jasho na kikundi chenye silaha duni kabisa.
RIP Jemedari John Joseph Pombe MagufuliWatu wengi hamjui kuwa hizo crisis zote zimesababishwa na Westerners (US na washirika wake) hata hayo makundi ya kigaidi wanayojidai kupambana nayo wao ndio wanaowapa support ili kuleta mfarakano kwenye nchi hizo za Mashariki ya Kati ili wao wapate mianya ya kuchuma mali asili zilizopo na kikubwa ikiwa ni crude oil.
Dunia hii inaendeshwa tofauti sana na watu wengi tunavyojua au tunavyodhani.
Mataifa ya magharibi wakishaona nchi ipo kwenye third world na ina rasilimali wanazotaka kama madini, mafuta n.k watakuja kwa njia za kilaghai kujidai wanataka kuwasaidia kwa mikataba ya kinyonyaji.
Mkiwa na viongozi wanaojielewa wakiwakazia wao lazima watafute namna ya kuleta machafuko kwa ku fadhili makundi ya waasi/magaidi halafu machafuko yakitokea wanajidai kuleta troops wakijidai kuja kuleta/kulinda amani kumbe ndio muda wao wakuwapiga.
Angalia nchi kama Libya ilivyokuwa stable kipindi cha Gadaffi. Lakini mzungu akaona kuwa hawezi kuinyonya Libya mpaka watafute njia ya kumuengua Gadaffi. Wote tunajua kilichotokea na tunajua Libya ipo katika hali gani sasa.
Hapo mainstream media zinawajaza habari za tofauti (misinformation). Hizo ni propaganda za Westerners
Tumefichwa mengi.
Pakistan inahusika,vile vile Mimi huwa najiuliza kikundi kama Taliban wanapataje humvee(USA made)za kivita?Inaitwa Afghanistan the graveyard of Empires
USSR walikuwepo miaka ya 80 wakashindwa na Mujahdeen (wakisaidiwa na USA)
Taliban wakaingia mwishoni mwa miaka ya 90 ikawa rasmi sasa ni Unstable, Rogue state, safe heaven for radical, extremist terror group kama Alqaeda wakajitanua mpk maeneo ya Pakistan - Pashtun.
September 11 2003 wakafanya yao. Bush kaanzisha military campaign dhidi yao, imeridhishwa kwa Obama, Trump, Biden leo miaka karibu 20. More than 2 trillion $$ zimetumika.
Leo troops za US & UK wanafungasha virago Taliban wamerudi. Wanateka miji kama wanatembea nani ana sponsor hawa jamaa?
wazungu wanatufanya sisi wakaazi wengine wa dunia wajinga sana..ukifatilia tangia marekani (na haswa CIA) waingine rasmi Afghanistan basi zaidi ya asilimia tisini (90%) ya dawa za kulevya Opium (pia yenyewe ni malighafi kuu ya dawa za kulevya heroin ) inatoka Afghanistan. Hizi dawa zinasambazwa kote masharaki ya mbali (haswa wakiielenga China, Urusi na Korea Kaskazini ili kuzidhoofisha jamii hizi manake kijeshi ni vigumu kupambana nazo ), lakini pia zikisambaa sehemu mbali mbali duniani na ikiwaletea marekani (CIA) faida ya mamilioni ya dola ambazo zinatumia kufadhili efedhuli wao mahala kwa mahala hapa ulimwenguni...Talibani nao ni washirika wakubwa sana wa hii biashara na ndo wanakopatia faida kubwa (pamoja na vyanzo vingine kama kutoza kodi nk)..Watu wengi hamjui kuwa hizo crisis zote zimesababishwa na Westerners (US na washirika wake) hata hayo makundi ya kigaidi wanayojidai kupambana nayo wao ndio wanaowapa support ili kuleta mfarakano kwenye nchi hizo za Mashariki ya Kati ili wao wapate mianya ya kuchuma mali asili zilizopo na kikubwa ikiwa ni crude oil.
Dunia hii inaendeshwa tofauti sana na watu wengi tunavyojua au tunavyodhani.
Mataifa ya magharibi wakishaona nchi ipo kwenye third world na ina rasilimali wanazotaka kama madini, mafuta n.k watakuja kwa njia za kilaghai kujidai wanataka kuwasaidia kwa mikataba ya kinyonyaji.
Mkiwa na viongozi wanaojielewa wakiwakazia wao lazima watafute namna ya kuleta machafuko kwa ku fadhili makundi ya waasi/magaidi halafu machafuko yakitokea wanajidai kuleta troops wakijidai kuja kuleta/kulinda amani kumbe ndio muda wao wakuwapiga.
Angalia nchi kama Libya ilivyokuwa stable kipindi cha Gadaffi. Lakini mzungu akaona kuwa hawezi kuinyonya Libya mpaka watafute njia ya kumuengua Gadaffi. Wote tunajua kilichotokea na tunajua Libya ipo katika hali gani sasa.
Hapo mainstream media zinawajaza habari za tofauti (misinformation). Hizo ni propaganda za Westerners
Tumefichwa mengi.
Taliban wanatumia Majambia?Wakati mwingine mabavu hayasaidii hata kama wewe ni super power,ona sasa US na Nato wametolewa jasho na kikundi chenye silaha duni kabisa.
Hapana,wanatumia viwembe.Taliban wanatumua Majambia?
TakbiiirHapana,wanatumia viwembe.
Ahaa kumbe shida ilikua Osama.nina wasiwasi baada ya US kuondoka wataleban watatengeneza wakina Osama wengine,sasa sijui itakuwaje uko mbeleni.Sidhani kama wakubwa wamewakatia tamaa, shida yao kubwa ilikua ni Osama ambaye tayari waliisha muua so hawana interest na Afganistan any more.
Back to the topic; nadhani watu wenye misimamo mikali ya kidini, upiganaji unaanzia moyoni, umlipe usimlipe yeye anajua anapigana halafu mola wake atamlipa, ogopa sana mtu wa namna hiyo, hakati tamaa cause yeye hata ukimuua, anajua kuna maisha mengine baada ya kifo na anajua kua kwasababu atakua kafia kwenye kupigania huyo mungu wake then mungu wake huyo huyo atamlipa huko aendako so kwake kifo is nothing
Lakini inasemekana marekani ndiyo soko kubwa zaidi la madawa ya kulevya dunianiwazungu wanatufanya sisi wakaazi wengine wa dunia wajinga sana..ukifatilia tangia marekani (na haswa CIA) waingine rasmi Afghanistan basi zaidi ya asilimia tisini (90%) ya dawa za kulevya Opium (pia yenyewe ni malighafi kuu ya dawa za kulevya heroin ) inatoka Afghanistan. Hizi dawa zinasambazwa kote masharaki ya mbali (haswa wakiielenga China, Urusi na Korea Kaskazini ili kuzidhoofisha jamii hizi manake kijeshi ni vigumu kupambana nazo ), lakini pia zikisambaa sehemu mbali mbali duniani na ikiwaletea marekani (CIA) faida ya mamilioni ya dola ambazo zinatumia kufadhili efedhuli wao mahala kwa mahala hapa ulimwenguni...Talibani nao ni washirika wakubwa sana wa hii biashara na ndo wanakopatia faida kubwa (pamoja na vyanzo vingine kama kutoza kodi nk)..
Handas Kabul [emoji1]Taleban wazee wa Pashtun, khost, Peshawal-Pakistan, wazee wa handas Kabul na Kandahar..
hahahahaha, nchi ngumu sana ile pamoja na ule ukanda wote kuanzia kashmir kuja mpaka Islamabad to Karachi - Pakistan..
Pakistan inahusika,vile vile Mimi huwa najiuliza kikundi kama Taliban wanapataje humvee(USA made)za kivita?
Wale ISIS walikuwa wanapata wapi Landcruiser mkonga Tena mpya?
Vita ni biashara kubwa,hapo makampuni ya USA na UK yanauza siraha za kutosha.hii ni proxy war,wanaopigana mbele,Wana wengine wanaowapa msaada nyuma,Russia,China,Hawa wanapenda USA atoke Afghastan,na wapo tayari kuipa msaada Taliban,Ili ishikishe adabu serikali iliyowekwa na USA na washiriki wake,Taliban wameishakutana na China,ni Swala la muda,China atakuwa ndio mbabe mashariki ya Kati,
Talibani wapo Afghanistan tangu 1976.... Urusi alishakula kipigo cha mbwa koko akapoteza 15,000 soldiers.Mada mzuri, wacha kwanza nifanye hili na lile lakini ningependa kuweka kumbukumbu sawa kwamba, Taliban waliingia Afghanistani katikati ya miaka ya 90!
Lakini kwa ufupi ni kwamba, ISI wana mkono wao ndani ya Taliban! Na kwavile enzi zile ISI na CIA walikuwa wanaendesha pamoja covert ops, basi hata hao CIA nao wana mkono wao ndani ya Taliban kwa namna moja au nyingine!!!
Hapo pia huwezi kuiacha Saudi Arabia ambae nae alikuwa anafadhili hizi operesheni financially!!
Saudi Arabia, Pakistan (ISI), na USA (CIA), kila mmoja alikuwa na interests zake!