Nani yupo nyuma ya Taliban? Miaka karibu 20 ya vikosi vya Marekani na washirika wake Afghanistan ni Bure?

Waarabu wana hela sana - ndiyo wanaowafadhili hao jamaa.
Nchi hiyo ..Taifa hilo lina wanaume wengi kuliko wanawake... Tazama vizuri!!
Wana reserve ya Mafuta kwa hadi miaka 300 ijayo.
Wamarekani na nchi za Ulaya zipo hapo wafiwa na silaha za kisasa na nguvu zote za kijeshi na intellijensia sasa miaka 20..... nia yao nini???
Waarabu Lazima wajikinge..Na waJilinde ili moto usiwafikie!! tafakari
 
Taleban wazee wa Pashtun, khost, Peshawal-Pakistan, wazee wa handas Kabul na Kandahar.

hahahahaha, nchi ngumu sana ile pamoja na ule ukanda wote kuanzia kashmir kuja mpaka Islamabad to Karachi - Pakistan.
Bila kusahau Helmand Province,kule Muingereza alipelekwa udenda ulimtoka ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Mugabe alinukuliwa akisema "Siku mbu akitua kwenye korodani zako, ndipo utakapojua kwamba kuna wakati unaweza kutatua matatizo bila kutumia mabavu"
Alikuwa Mao Tse tung
 
Taleban wazee wa Pashtun, khost, Peshawal-Pakistan, wazee wa handas Kabul na Kandahar.

hahahahaha, nchi ngumu sana ile pamoja na ule ukanda wote kuanzia kashmir kuja mpaka Islamabad to Karachi - Pakistan.
Kitu kimoja ninacho kikumbuka personaly kuhusu hapo Peshawar Pakistani ni ukarimu wa watu wake hasa kwa wageni.
 
Vita nzima ya Afghanistan imekaa kisiasa na kibiashara zaidi kuliko lengo kuu la kuwamaliza Taliban,Marekani walipoingia mwaka 2001 walifamikiwa sana kuwaondoa Taliban maeneo muhimu kama kabul,kandahar,Helmand na kuwasogeza mbali kusini mwa nchi.
Ghafla ndi kampeni za kumuondoa Sadam Hussein zikaanza,wanajeshi wengi wa marekani na vifaa walipelekwa Iraq kwa ajili ya vita kubwa kumuondoa Saadam Hussein,.Huku nyuma ikawa mission ya Nato.
Lengo kuu la vita ya Afghan kwa maoni yangu
1.Marekani alilenga kupata advance base kwa ajili ya logistic kuelekea Iraq,vifaa vingi na wanajeshi walitokea Afghanistan kwenda Iraq,yaani ilitumika kama njia kueleaa Iraq,ndio maana baada ya kumalizika kwa vita ya Iraq marekania alipoteza kabisa interest na vita ya Afghan
2.Pili lengo kuu ilikuwa ni ushawishi tu hapo middle east,yaani kupata uwanja kueneza policies zake na influence hapo middle east
3.Tatu ilikuwa ni kufanya biashara na makampuni ya ulinzi binafsi na silaha marekani,kipindi cha vita makampuni binafsi ya ulinzi kama Black water, Tripple canopy walipata tenda nyingi sana kutoka wizara ya ulinzi marekani.Ndio maana hata vita imechukua muda mrefu ili haya makampuni yaendelee kunyonya pesa za walipakodi wa marekani kwa maslahi yao.
4.Nne ni issue ya Opium au Popy,hii sina uhakika nayo sana ila ni moja ya sababu ambayo watu wengi wanaongelea kwamba marekani na nchi nyingine walitumia mwanya wa vita kuendeleza zao la Opium na kufanya biashara.
Ni maoni tu mawazo yangu sio sheria,yanaweza kupingwa pia.
 
Russia na Iran
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Mugabe alinukuliwa akisema "Siku mbu akitua kwenye korodani zako, ndipo utakapojua kwamba kuna wakati unaweza kutatua matatizo bila kutumia mabavu"
Hahahahaaa! Mugabe alikuwa ni kiboko ya Mabeberu! [emoji16][emoji16]
 
Dah akili kubwa sana hii MKUU

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Sio rahisi kupigana na ideology.
End off........Umemaliza mjadala
The rest is conspiracy theory..........
Soviet walikimbia Mujaheedin wa Afghanistan japo walikuwa na special forces wao "Spetnaz" waliobobea katika fani ya brutal survival skill duniani .
US pia walikimbia Ideology ya VietCong waliokuwa wanamuabudu Ho Chi Minh.......
History always repeat it self, Taliban ni morden day "Mujaheedin",
Russia is behind this though........
 
Nashangazwa sana hapo Afghanista sioni hata mwanamke barabarani.. Jee ,vipi hawa jamaa?
 

mstari unao tenganisha makundi ya kigaidi na marecani ni mdogo sana,
 
Katika jeshi lenye discipline ni Wataleban, wale hawabaki wanawake maana wana discipline kubwa ya uislamu
 
Pia sijui kama wengi mnafahamu kuwa Wataleban ambao majority wanatoka kwenye kabila la PASHTUN wanasema kuwa wao ni miongoni mwa Makabila 10 ya wana wa israel yaliyopotea. Wao walipokuwa introduced kwa Uislamu waliupokea mara moja maana unaendana na mila zao za asili

Cheki hii documentary:
 

Zaidi ya yote, rasilimali (asset) yao kuu ni utayari wa kufa. Kwao kifo ni โ€œrahaโ€ tu na malengo yao ni ya kidini zaidi. Vita ya kiimani (jihad) ni fursa adhimu ya kuelekea peponi.

Unawezaje kuwashinda vichaa aina hiyo. Labda uwapige bomu la nyuklia kama ilivyokuwa Hiroshima na Nagasaki Wajapani walipoanzisha mashambulizi ya Kamikaze. Tatizo hizi ni enzi nyingine na Taliban si nchi wala taifa.
 
Taleban wazee wa Pashtun, khost, Peshawal-Pakistan, wazee wa handas Kabul na Kandahar.

hahahahaha, nchi ngumu sana ile pamoja na ule ukanda wote kuanzia kashmir kuja mpaka Islamabad to Karachi - Pakistan.
Bila kusahau Mapango ya Torabora..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ