warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
kweli mkuu uwoya tatizo anajiachia sanaa lakini mzuri sana kila idara yuko vizuri.
Wolper linajua kutupia kistaa lile, tatizo uwoya siku izi kajisusa kweli, ata picha anazotupia insta sio kiwango sijui anatumia techno au huawei, kuwa staa sio mchezo bwana, ndo maana akina lulu wanalala na baba zao ili wanunuliwe iPhone 6 wawarushie roho watu insta