Nani zaidi kati ya Wema au Zari?

Siku hizi ukitaka kuijuia product wakati hujawahi kuitumia, soma customer reviews. Nimesoma comments za waganda kwenye hizo links, naona kama wanaingia kwenye mahusiano diamond atafilisika kabisa. He has to play his cards very well!
 
Siku hizi ukitaka kuijuia product wakati hujawahi kuitumia, soma customer reviews. Nimesoma comments za waganda kwenye hizo links, naona kama wanaingia kwenye mahusiano diamond atafilisika kabisa. He has to play his cards very well!

Dah mkuu comment zako zimekwenda shule, inaonesha jinsi gani unafatilia kwa makini
 
Yaan unalinganisha Wema na Zariii, ,,,hebu tafuta mwingine tulinganishe na Zari banaaa
 
Siku hizi ukitaka kuijuia product wakati hujawahi kuitumia, soma customer reviews. Nimesoma comments za waganda kwenye hizo links, naona kama wanaingia kwenye mahusiano diamond atafilisika kabisa. He has to play his cards very well!
nimependa post yako:smile-big:
 
Yaan unalinganisha ebola(wema) na maralia(zari)
 
Zari ana watoto,wema hana,wote wanategemea ma Bwana,Zari anasubiri apewe child support na Ivan,Wema nae anasubiri pesa kutoka kwa mapedeshee,wote wale wale,Ila Diamond asubiri kufilisika maana Zari ni hatariii
 
Duh nilikuwa namuona wema ni ----- lakini huyu zari anaonekana headmistress wake. lol diamond anakazi

Dimondo naona kakimbilia kwa Zari kwa frustrations tu ili kumkomoa Wema. Huko Insta jamaa bado analilia papuchi ya Wema, ni vema watu wa karibu na Chibu wamshauri atulie kwanza apunguze stress za kuachwa then baadae sana ndo aingie kwenye relationship kwa sasa kukimbilia kwa warembo ataishia pabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…