Nani zaidi kati ya Wema au Zari?

zari is next level, some ladies are real special and zari is just about the best you can get!!!
 
labda aseme walimnukuu vibay lakini kusema vannie ni mwanae hilo aliliandika.
 
Zari ana watoto,wema hana,wote wanategemea ma Bwana,Zari anasubiri apewe child support na Ivan,Wema nae anasubiri pesa kutoka kwa mapedeshee,wote wale wale,Ila Diamond asubiri kufilisika maana Zari ni hatariii

siyo kwamba Wema hana watoto ni kwamba anachezea ujana vibaya mi nampenda Zari kwa sababu inajulikana kazi yake ni mfanyabiashara na ana majumba sasa huyu maza ubaya kazi yake ni nini? Ila domo nae anatakiwa awe kamchumba au mke ambaye siyo maarufu hawa maarufu watamfilisi
 
Aiseeee........ngoja nifuatilie huko Uganda kwanza........

Comments za mitandaoni zisomeni kwa umakini...
Waganda wana roho mbaya sana; full wivu ...na hawapendani hata wao kwa wao...

Nina marafiki toka pande zote...wale wa karibu na Tz kina Museven..ambao system imewapendelea (according to hao wa North)

Na wa Northern Uganda kwa Idd Amini...yani wanachukiana vibaya mno...kama muhutu na mtutsi...
 
Basi ni shidaaa kule kuna maubuyuu balaaaa ,yaan wenye kuuliza mafile ya wanaume duuu mpaka Sinta alikataaa wasiwe wanataja majinaaa

Umenichekesha...kuna mtu aliuliza faili la sijui pilot gani; alikuwa keshampigia mahesabu ya jinsi gani ampate...wacha mdada mwingine aje juu...eti ukome kumuulizia mume wangu...te te te...

Bongo ni shiiida maana wanaume wenye pesa ni wachache hivyo kwa walio mawindoni ni mbanano at work....
 
They are both beautiful ladies! Ila Zari kamuacha wema mbaaaaali sanaaaaa kimaisha! Wema hata auze mbunye miaka 30 ijayo hafikii utajiri alionao mdada matata Zarina!
I admire her kwa blessings alizo nazo including 3 boys!
Hata mahusiano aliyopitia si mengi ukilinganisha na Miss wetu Wema!
Zari yupo juu!
 

Yaan huko unaweza kuta file la mumeoo hhhhhaaaaaa mpaka mwingine aliingia akapiga biti ole wake wamtaje mume wakee
 
Zari la mental au zali la wemaaa mnatuchanganya, kama ni yule mwenye migari kuzidi Mtoto wa Said B wa Azam Wema kaa chini umsubiri mwenza wako akifilisika vibaya na kuangukia pua, ile kitu level ingine hati
 
Sio 3 boys anao 4 mmoja kamficha nimeona kwenye comments zawaganda
 
Halafu cheki miguu kuna kama nindunundu za unene! Huyu mzuri akiwa kavaa tu akivua unaweza kumwaga mbio!

Hahaaaaaaaa chezea pesa angekua hana hana hela huyu asingetofautiana na mama wanne wa kule kwetu sitimbi
 
wabongo bwana, wanavyouelezea utajiri wa Zari utazan wameushuhudia, kumbe ni wenzangu na mimi tu wa kuona mapicha ya Insta
 
wakuu nataka kujua tofauti kati ya hawa warembo wawili yani WEMA na ZARI, kiukweli wema ana nyota kali kuliko zari, lakini zari anatembelea jina la mondi. so nani mkali zaidi ya mwenzake,ki urembo,bahati,pesa nyota kali,kujiheshimu, kimaendeleo, kutokua na maskendo. nani zaidi?
 
Sasa huwezi kuwapambanisha coz zari sio mtz but Wema yupo poa kwa nafasi yake na zari kwa nafac yake.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…