MUSABE ni kitu gani.hata haipo kwenye ramani .Ni primary au secondary? hizi shule za milipuko hizi huwa zinazaliwaga na kufa chap.Wawaulize wenzao akina St.Mathew.St.marys etc.mimi huwaga siiamini shule ya private.labda kama hiyo shule ni ya katoliki.otherwise.bado kitambo kidogo sana sulemani jafo na ndalichako watazirudishia heshima zile shule za umma.
Sema pia hao wenye shule wengine ni watumishi wa wizara .
Sema pia hao wenye shule wengine ni watumishi wa wizara .