shauri ya kucheza mpira mbovu kwa kipindi kirefu hadi washabiki wenu wamesusa kuja kwa uwingi uwanjani hadi hii leo.
.
Principle za kuangalia mpira zinajulikana ww mama,hakuna MTU anayekaa kuangalia mpira ambao hauvutii hata kidogoMaskini akipata.....
Washabiki wenu wamewabatiza majina mengi tu. Mala Utopolo fc mala Mataputapu fc hadi kocha wenu akawaita Nyani, shauri ya kucheza mpira mbovu kwa kipindi kirefu hadi washabiki wenu wamesusa kuja kwa uwingi uwanjani hadi hii leo.
Simba wanapenda soka na ni wenye uwezo wa kuingia uwanjani ndio maana unaona hiyo halaiki ya watu uwanjani.
Kwali making alikipata...
Nawewe umeingia kwenye mkumbo wa kupost picha ya siku ya wanachi kama alivofanya muhamasishaji wenu Manara na Senzo, me nimekuwekea picha ya derby ya trh 30 April, Yani baada ya kuzunguka kote kule Kwa Manara na Bumbuli ila mashabiki ata robo tu hamkwenda, acheni ubahiliBado narudia tena.
Mechi moja sio kipimo cha nani anafiatiliwa na mashabiki wengi uwanjani.
View attachment 2260450
[emoji23]
Naona unajitekenya mwenyewe sasa! hao simba umewaona ndio wanamuda wa kufanya ivo!Umeona hawana kazi za kufanya mpaka wapoteze muda kwa namna hiyo?
Mwaka gani sina haja ya Google taja mwaka tuoneInaonekana wewe bado ni mchanga sana kwenye soka.
Yanga SC ndio klabu iliyoshiriki mara nyingi zaidi kwenye continental tournaments kuliko timu yeyote hapa Tanzania.
Najua ubongo wako umejaa maji ya Madafu nenda Google ikakusaidie.
Masikini uwa mna vituko[emoji28][emoji28] unakuta una shida mpaka unanuka!! Halafu unamwita Waziri Ndumbaro eti "kajamaa"[emoji23][emoji23] tafuta pesa wewe lofa!unakuta elimu ya maana huna,pesa huna,kazi ya maana huna,unashinda jamii forums ukitukana waliokuzidi uwezo.Mimi nilisha wapuuza hawa tangu kale kajamaa kalikua ka waziri ka utalii katoe zile data za watu bilioni ngapi sijui waliangalia game za caf za simba. Nikamkumbuka Rage kwamba shabiki yeyote wa simba ni mbumbumbu
Mi Mama tenaPrinciple za kuangalia mpira zinajulikana ww mama,hakuna MTU anayekaa kuangalia mpira ambao hauvutii hata kidogo
Nyie wenyewe mmekubali mnakuja kuangalia burudani ya mpira kutoka Young Africans
We mama karibu na kesho pia kuangalia show za kibingwa pale Taifa,wanaume wanatangazwa kuwa mabingwa wa kandanda nchini
Hawa jamaa ni kama wamewehuka na ubingwa wa Yanga msimu huu.Masikini uwa mna vituko[emoji28][emoji28] unakuta una shida mpaka unanuka!! Halafu unamwita Waziri Ndumbaro eti "kajamaa"[emoji23][emoji23] tafuta pesa wewe lofa!unakuta elimu ya maana huna,pesa huna,kazi ya maana huna,unashinda jamii forums ukitukana waliokuzidi uwezo.
Mechi za Simba na Yanga robo tatu ya uwanja huwa ni nyekundu.Rangi za jezi uwanjani ni kiashiria tosha kuwa wakina nani wanashangilia nani.
Hakuna shabiki wa SIMBA SC anaweza tinga uzi wa NJANO na kuenda kutazama mechi ya YANGA SC.
[emoji23][emoji23]
Uzi wa hovyo sanaNimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana suala la hii kampeni ya Nani Zaidi?
Kwa uwiano uliopo kati ya mashabiki wa Simba na Yanga, inawezekana vipi wapiga kura wa Simba wawe wengi mara mbili zaidi kuliko wale wa watani zao Yanga?
Hata ukizingatia tu uwezo na msukumo wa uchangiaji kutoka kwenye kampeni yao ya Ujenzi wa uwanja...Huwezi kuona uhalisia baina ya kapeni hizi mbili.
(kumbuka kuwa Simba walitumia miezi 6 kufikisha milioni 60)
Tena kwa kutumia michango ya mashabiki. Tena pasi na kuwekewa kuwango zuizi cha uchangiaji!
Sasa wamewezaje kufika milioni 100 ndani ya mwezi mmoja...? [emoji23][emoji23]
Ukitumia ubongo wako mpenzi msomajinutagundua kuwa kampeni ya uchangiaji ilivamia na FUMBATE ya kuhamisha pesa ya klabu yao kwa lengo la kuwaaminisha wanachama na mashabiki wao kuwa wako vizuri, wakijua wazi kuwa mashabiki wao wataamini na hawatoweza hata kujiuliza maswali magumu.
Leo katika mkutano wa waandishi wa Habari wa klabu ndipo nikapata kuthibitisha shaka yangu kuwa niko sahihi 100%
Idara ya Klabu ya Yanga iliweka wazi mbinu iliyoyumika na simba ili kuuaminisha watu wao kuwa hawawezi kushindwa na Yanga kwenye kila kitu msimu huu.
Walichokifanya ni kutoe pesa mfuko wa kushoto na kupeleka kulia ili kuonyesha kuwa wako safi.
Hongereni Simba SC lakini msisahau kusajili kwa kuwa dirisha la CAF limesalia siku chache kutoka hii leo.
View attachment 2259739
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mleta mada naomba nikukumbushe Tu mambo kadhaa kuhusu Simba
1.Simba ndy club yenye vibe mtandaoni kuliko club yoyote kusini mwa jangwa la Sahara,na linapokuja swala km Hilo linakuwa km kumsukuma mlevi tu Kwa mashabiki wa simba
2.kwenye mitandao ya kijamii Simba imemwacha mbali sn yanga Kwa followers
Simba 934,000 wakati yanga 192,000(Twitter pekee)
Umejifunza nini hapa kuhusu hili linaloendelea?
3.Siku kadhaa nsemaji wenu white aliwahi kukiri kwamba Simba imemwacha mbali sn yanga kwenye hamasa za mtandaoni.Huoni hili Kwa Simba ni km kumwambia mtoto avunje biskuti?
4.Point yangu ya mwisho ni hii;Umesema kwamba huko nyuma Simba ilichangisha mil 60 Tu lkn umesahau kwamba wakati ule ilikuwa haishindani na yeyote lkn Simba linapokuja swala la kushindana,mashabiki wa Simba ni km wanakuwa vichaa Kwa kuisapoti timu Yao
Mwaka gani utopox wameshiriki caf champions league gruop stage wote tunajua anatokaga preminary round au second mm nataka unitajie mwaka ambao Utopox wameshiriki caf champions league group stagesBy default Bingwa wa Nchi ndio muwakilishi katika michuano ya Bara.
Nani ni bingwa mara nyingi ya ligi kuu?
Mwaka gani utopox wameshiriki caf champions league gruop stage wote tunajua anatokaga preminary round au second mm nataka unitajie mwaka ambao Utopox wameshiriki caf champions league group stages
Mwaka gani utopox wameshiriki caf champions ikipita miaka zaidi ya 20 ujue ww ni timu ndogo maana timu zote ndogo hazina uwezo wa kushiriki ligi ya wakubwaTumia akili yako kabla haujazikwa.
Wenye Job ndio wameshindwa kuichangia bukubuku za kutosha timu yao?Mashabiki wengi wa Yanga sio JOBLESS.